Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwangu mimi Shigongo hana credibility hata chembe.
Ni magazeti yanayosomwa na kuaminiwa na wajinga.
Hata huyo mumewe wa zamani naye hana credibility yoyote ile kwa sababu inavyoonekana ni anaumia sana akiona mkewe wa zamani akipigwa jengelele na Diamond.