Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
----- ilo kwani j-lo kazaa akiwa na miaka 20 hatumii ubongo kufikir uyo jamaa kwa Mungu hakuna umri akiamua kaamua sara wa ibrahim ktk maandiko alizaa akiwa na miaka tisini eboo
Huyo jamaa wivu unamsumbua halafu yawezekana kabisa yote anayozungumza juu ya mwanamama huyo yamkini hayana ukweli. Aisee anatia huruma mnoHuyo jamaa si mumewe tena.
Na anayosema sasa anayasema kwa sababu ya inda tu hivyo ni ya kuyaangalia kwa jicho la tatu.
Kwangu mimi huyo jamaa ana zero credibility.
Huyo jamaa wivu unamsumbua halafu yawezekana kabisa yote anayozungumza juu ya mwanamama huyo yamkini hayana ukweli. Aisee anatia huruma mno
Mmmh #mamndenyi kupitia haka ka-post kako nimekutamani bure... i..l@ove,??u
Bunduki bila risasi ya uanamna gani = daimondi
Huyo jamaa wivu unamsumbua halafu yawezekana kabisa yote anayozungumza juu ya mwanamama huyo yamkini hayana ukweli. Aisee anatia huruma mno
Alizungumza wapi? Leta ushahidi wenye ithibati
Hata Kiswahili hukijui vizuri!
Eti "ushahidi wenye ithibati" LMAO.....
Hivi unajua maana ya ithibati wewe?
Acha kuiga iga watu wewe....siyo kila ukiona mtu katumia neno fulani basi ndo na wewe ulitumie hata kama hujui maana yake, ebo!!
Huu ni ujinga kuliko ujinga wenyewe kufananisha maandiko ya Kibiblia na ujinga wako.
Kwenye biblia wapo walioishi miaka 900. Je wewe waweza kuishi miaka hiyo.
Mahaba yako yasikufanye kuona verse za biblia ni kama za Juma nature. Umepotoka.
sema wewe mimi nilidhani alitolewa kizazi kumbe umri ! Mshamba kweli as long as anaafya Mwanamke yeyote anauwezo wa Kubeba Mimba mpaka 40+
----- ilo kwani j-lo kazaa akiwa na miaka 20 hatumii ubongo kufikir uyo jamaa kwa Mungu hakuna umri akiamua kaamua sara wa ibrahim ktk maandiko alizaa akiwa na miaka tisini eboo
Siri nzito ipi hapo?
Sasa bwana jinga, mbona sioni kosa katika hiyo sentensi... Ithibati ni jambo linalodhihirisha ukweli wa dai kwa lugha nyingine ni ushahidi, mtu anaposema naomba ushahidi wenye ithibati, kwa lugha nyingine anaweza kusema naomba ushahidi unaodhihirisha ukweli wa dai, sasa bwana jinga kuna kosa gani hapo!?Hata Kiswahili hukijui vizuri!
Eti "ushahidi wenye ithibati" LMAO.....
Hivi unajua maana ya ithibati wewe?
Acha kuiga iga watu wewe....siyo kila ukiona mtu katumia neno fulani basi ndo na wewe ulitumie hata kama hujui maana yake, ebo!!
Ithibati ni Ushahidi...
Sasa bwana jinga, mbona sioni kosa katika hiyo sentensi... Ithibati ni jambo linalodhihirisha ukweli wa dai kwa lugha nyingine ni ushahidi, mtu anaposema naomba ushahidi wenye ithibati, kwa lugha nyingine anaweza kusema naomba ushahidi unaodhihirisha ukweli wa dai, sasa bwana jinga kuna kosa gani hapo!?
Mwingine huyu asiyejua kanuni za kisarufi za lugha ya Kiswahili.
Kwa maneno yako mwenyewe umesema kuwa ithibati ni ushahidi.
Sasa kama ithibati ni ushahidi utaombaje "ushahidi wenye ithibati"?
Hata mantiki ndogondogo tu zinawashinda!!!!