Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
ndo huko sasa ntakufundishia apa utaona aibu kuuliza maswaliPopote mwalimu, maana elimu haina mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo huko sasa ntakufundishia apa utaona aibu kuuliza maswaliPopote mwalimu, maana elimu haina mwisho
Point noted!thank uHamna jamii ya wanawake wenye stress kama ma strong woman uwaga wanakuwa strong nje tu as if hawana shida kabisa na mwanaume lakini uwaga wana msongo mkubwa sana wa mawazo...na sababu kubwa mwanamke hata awe strong vip anahitaji mwanaume ambaye atampenda kama alivyo na mapungufu yake na kosoro zake mara nyingi strong woman hawapatagi wanaume wa hivo sababu ya vibri zao...the same to men,mwanaume hata ufanikiwe vip kuna mda unafika unahitaji mwanamke ambaye atakuheshimu,kuwa upande wako,kukusapoti na kukujali kama ulivyo pamoja na madhaifu yako...mara nyingi wanaume maskini sanaaaa hawapatagi bahati hiyo
ndo huko sasa ntakufundishia apa utaona aibu kuuliza maswali
counter bookSawa mwalimu, ngoja nisubiri somo.
Nije na daftari gani?
counter book
Unamtengenea mwenzako life ban.hahaa nilitaka kushangaa uiangalie hi coment tu
we ndo utampaa hyo life ban??Unamtengenea mwenzako life ban.
Kwani hajui kuwa hatakiwivkucheka cheka na mke wa mtu?
Mimi mod . Hujui kumbe?we ndo utampaa hyo life ban??
mxxiueeMimi mod . Hujui kumbe?
Naona kisu kimefika mpaka kwenye mfupa,pole sana kama imekuchoma kama pasi,vumilia tu ndio ukweli ulivyo.Kwahyo kwa akili zako uanaume ni kusukuma toroli, kubeba nondo, na kukunja sura? acha ushambenga.
Jaribu kumpa ushauri mkuu huenda akakuelewa.mwenzio ana ongeza bentley cars za mamilioni na kusaini madili yenye pesa kibao ...wewe umepata sh ngapi kwa kuandika hapa
Ahahahahahahahahah unamtamani eeNatamani Diamond atie japo kichwa tu huku chini