Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mtoa mada , ....
Zary kukimbia ,kafanya ujinga?? .. Unahisi Zar kubakia au kukimbia niipi ilokua nafaida kwake?? .
Hii mada yako inawahusu wanawake wasokua independent kimawazo,kifikra,kiuchumi n.k... ..... Binafsi sipendi mwanamke anayejifanya mshumaa.
Napenda mwanamke mwenye uwezo wa kuhoji na kufanya maamuzi kwa mustakbar wa Heshima na Thaman yake yeye.... Acha kumlinganisha Zary ns wafia njaaa ,ambao wanajua Diamond ana mtu lkn bado wanavitegesha waliwe ilimradi tu ajisikie kua naye ameliwa na Diamond,,kwa bahati mbaya izo ndo akili za wanawake wasojielewa.
Zary kukimbia ,kafanya ujinga?? .. Unahisi Zar kubakia au kukimbia niipi ilokua nafaida kwake?? .
Hii mada yako inawahusu wanawake wasokua independent kimawazo,kifikra,kiuchumi n.k... ..... Binafsi sipendi mwanamke anayejifanya mshumaa.
Napenda mwanamke mwenye uwezo wa kuhoji na kufanya maamuzi kwa mustakbar wa Heshima na Thaman yake yeye.... Acha kumlinganisha Zary ns wafia njaaa ,ambao wanajua Diamond ana mtu lkn bado wanavitegesha waliwe ilimradi tu ajisikie kua naye ameliwa na Diamond,,kwa bahati mbaya izo ndo akili za wanawake wasojielewa.