Zari mwanaume haachwi; Ulicheza faulo

Toka mwaka 2013 wanaulizaga jinsia mpaka leo umalaya tu unawasumbua
 
Binam ile ishu si nilicopy halaf pm nikafuta halaf nikasahu kuisave,,plz naomba unitumie tena samahan kwa usumbufu ndio maana unaona kimyaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] shoga kumbe pm mnafutaa!!!Mimi mzembe naziacha tu!sijui najiamini nini!!
 
Kuna siku nilliangalia behind the scene ya african Beauty, nimemuoza akiwa anatoa maelekezo wakati wa ku-shoot. Baada ya hapo nikajua hawana lolote wale, bao ni wamoja. Sema ile ilikuea ni Kick ya kutokea ya Video ya African Beauty.

Ningei-attch hapa, ila kwa bahati mbaya ni kuwa simu yangu ni ya tochi.
 
Uwe mgeni weweeeee!!!!!!! hakii lazima mama Sabrina akojoeeeeee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38]




cc Smart911
Najua huwezi amini kuwa kuna mwanaume anajua kupenda kuliko Smart911, vivyo hivyo huwezi amini kuwa mimi ni mgeni na hii ni ID yangu ya kwanza hapa JF. Unalo jengine yakhe? Mama Sabrina achana naye yeye kiboko yake warumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…