Zari mwanaume haachwi; Ulicheza faulo

Mtoa mada , ....

Zary kukimbia ,kafanya ujinga?? .. Unahisi Zar kubakia au kukimbia niipi ilokua nafaida kwake?? .

Hii mada yako inawahusu wanawake wasokua independent kimawazo,kifikra,kiuchumi n.k... ..... Binafsi sipendi mwanamke anayejifanya mshumaa.

Napenda mwanamke mwenye uwezo wa kuhoji na kufanya maamuzi kwa mustakbar wa Heshima na Thaman yake yeye.... Acha kumlinganisha Zary ns wafia njaaa ,ambao wanajua Diamond ana mtu lkn bado wanavitegesha waliwe ilimradi tu ajisikie kua naye ameliwa na Diamond,,kwa bahati mbaya izo ndo akili za wanawake wasojielewa.
 
Huu ni upupu unaandika hapa abt celebrities...ushamuona Jay anamfanyia ujinga Beyonce?.wa type hii ya Diamond?.
Celebrities wengii mnoo wanaishi vizurii tuu ni kujipanga tuu na km mnapendana na kuheshimiana

Umalaya wa Diamond na ujinga ni kiwango cha lami...unavumilia nini pale au ushenzi tu
Zari anachohitaji ni mapenzi na heshima sio pesa
Mtu heshima yako is at stake unamuacha mtu aendelee na habari zake unakaa pembeni
 
Diamond anampenda sana Zari sana tu. Na haya yote anayofanya ni stress za kuachwa na Zari. Kwanza amekonda vby hana nuru kama alivyokuwa na Zari. Nasikia pia kawa Ahmada ile mbaya.
Analetaje jukwaani mambo ya kusikia sikia. Kuwa na uhakika kabla hujatoa hukumu.
 
Ameyaona ndio maana amesema hivyo
 
Avatar ya mtoa mada ,unaona kamuweka "Popoo" ...hii inaweza kukupa picha nimtu wa aina gan !!

Mtoa mada angekua mwanamke, basi niwale wanaopigwa mpaka wanatolewa mbavu kisa Mwanamme.

Mwanamme akikupenda,atakuheshimu kama Mama yake ..no cheating,..no kipigo..no matusi..no dharau..no niniii......yaaan sana kuna maudhi madogo yakibinadam na ambayo kazi yake nikuimarisha mahusiano.
 
Ndio ukubali daimond alikuwa hampendi zari na alimuacha zari siku mingii
 
zari is waaay better than domo

she is a star
 
Ndio ukubali daimond alikuwa hampendi zari na alimuacha zari siku mingii
Diamond nikijana malaya alotokea kumpenda mno zary.

Niivi Alishindwa kujiongoza umalaya wake ,ila nakuhakikishia zary alikua na impact kubwa sana kwa Diamond nandio sababu Diamond baada ya kuachana na Zary amejitahidi sana kujifanya hajapoteza kitu lkn ukweli nikwamba kapoteza na hilo analijua mno.

Alafu ujue Zary , alikua mwanamke pure sana kwajamaa, nimwanamke pekee alompa diamond msukumo wakufika hapa alipo. Tofauti namidemu yake ya zaman ilokua inamliza mliza ovyoovyo.lkn toka alipokua na "Nyota ya asubuh" (zary) mambo yakanyooka kisawasawa.


Wacha nikuambie kitu, Zary nimwanamke mzuri namakin kiasi kwamba wanawake wenzake wanamuonea wivu +zary nimwanamke (celeb) mzuri kiasi kwamba kila mwanamme atataman kua naye ..

Ujue sisi wanaume ,kuna mwanamke ukimuona unavaa mawan, ila kuna mwanamke akikupita mbele yako ,moyon unajisemea "ndoa iyoOooooo inapita"

Ningepata nafasi ya kumshaur diamond,ningemwambia Funga ndoa na Zarieth.

Kwanza jamaa kaachana naye lkn kamoyo kanamuuma sana .
 
Alijaribu kujamba wakati anaharisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo la social media anafurahisha mashabiki zake wakati yeye ndo anamhitaji,kamuacha hata msahamaha hajaombwa kutwa kujiongelesha mwenziwe hana hata muda ndo hapo unapotamani ugombane nae
Walau hata upoze machungu
 
Na misukule yake itamsifia eti kannua pazia ushabiki mbaya sana
Sasa hivi akinunua hata mapazia atapiga picha na kusema anasubiria mapazia mapya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kuna watu walijua watafunga ndoa wale wawili nawapa pole sana
Daimond ndio alimuacha zari muda mrefu tuu ila zari hakujua,anakuja kujua kushakucha na kujitangazisha BBC wala daimond hana habarii alimpenda kwa kwaajili ya watoto tu yupo busy na hamisa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona haters wa zari wamepata cha kuongea hapa pyeeeeeee wivu mbaya sana lowlife bana. Kutwa nzima insta na snap kwa zari. Humpend mtu kwann unamfatilia fatilia aiseee ngoja nikachungulie kapost nini[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ua jeusi ni motroooooooo kila mtu anajaribu kupindua matokeo lakini ukweli ni kwamba zari kaaacha,na mkiachwa achikeni
 
ila platnu...... ni noma kajaribu zote ndefu, pana, ndogo, kubwa, fupi, nyeusi, nyeupe hadi kuna wakati wakawa wanamuita mb*o ya taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…