Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Anonymous daima naweza jitapa namiliki kila kitu na kudanganya nimehongwa hiki kile nimetolea jasho hiki kile kumbe mboyoyo tu,namuongelea role model wa wadada wooooteee wa Tanzania,zarithebosslady
Someone swears eti zari atapotea na hataongelewa tena JF na penginepo baada ya ua jeusi,cheki hapa anavyowatoa jasho la vidole
Someone swears eti zari atapotea na hataongelewa tena JF na penginepo baada ya ua jeusi,cheki hapa anavyowatoa jasho la vidole
Ndio ustusimange eti low life,haya nawe vipi unamiliki au umepangiwa nyumba kama zari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna anaefata matendo ya zari zari kayakuta maisha yapo hivyo hata biblia iliandika