Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
Hahahaha....Haya mambo yenu acha niwapishee[emoji3]Ni mama mtu mzima kabisa hata live...
Hapo live anakuwaga na adabu sana maana anajua umejua uhalisia wake
Akiwa insta na mafilter, weee full vichambooo[emoji848][emoji15][emoji849]