data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Kuwaamisha kwenye upepo wa uchaguzi... Huoni na Lissu kashasahaulika..
Wakati yuko hatarini.
Wakati yuko hatarini.
Kaja kufanya nini au magu kamualika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaja kufanya nini au magu kamualika
Na ndio maana imebidi tu arudi kwa Diamond licha ya kupigwa matukio na yeye karudi kisa umaarufu tu basi hapo, uzuri yeye huwa mjanja hupata ma deal makubwaNa yule manzi nimeamini bila Diamond hawezi kuwa maarufu. Mondi kampa kiki sana
Esma alikuwa anawaza shela na kubadili tu nguoIle ndoa na makeke yote yale daah
Esma alikuwa anawaza shela na kubadili tu nguo
Darling anajielewa yuleNahisi aliona wivu sana kwa harusi ya queen darleen. Nae akakurupuka kujiongeza mke wa tatu
cariha me huo upuuzi sifanyi ndio maana sipendi kuwa na uhusiano na wanawake waliozalishwa me nimejiuliza kimya kimya hivi mondi angekuwa na girlfriend huyo Zari angeenda home kwa mondi au angekuja na watoto? me nazani kuja Jambo Zari amedhamilia anaona hii ndio chance ya pekee kabisa lazima aitumie vizuri ili kuwin moyo wa diamondNdio maana ni shida kuanzisha mahusiano na mtu aliyezaa hovyo hafu mkaachana watu wanakutana kwa kisingizio Cha co parenting.
Hapo Numbisa meno yote yapo nje aisee
Numbisa huyu dada Kwanini asijikite kwenye maisha yake kuliko kuingilia maisha ya Kaka yake mawifi Kama hawa Ni wa ovyo sanaIskarioti kaziniView attachment 1621275
Ndio nashangaa anatumia watoto kujirudisha, diamond mwenyewe hayuko happy ni Kama kafosiwa tu mwishowe wamuue kwa pressure za wanawake, na zari na watoto wote hao Nani angemuoa, chance aliyo nayo ni kumganda diamond tu hamna namna hapo. Kuzaa kwa diamond hovyo kumempoteza Hadi nuru usoni huyo diamond, mamake ana weka too much pressure kwenye mahusiano ya mwanawe.cariha me huo upuuzi sifanyi ndio maana sipendi kuwa na uhusiano na wanawake waliozalishwa me nimejiuliza kimya kimya hivi mondi angekuwa na girlfriend huyo Zari angeenda home kwa mondi au angekuja na watoto? me nazani kuja Jambo Zari amedhamilia anaona hii ndio chance ya pekee kabisa lazima aitumie vizuri ili kuwin moyo wa diamond
Ndio nashangaa anatumia watoto kujirudisha, diamond mwenyewe hayuko happy ni Kama kafosiwa tu mwishowe wamuue kwa pressure za wanawake, na zari na watoto wote hao Nani angemuoa, chance aliyo nayo ni kumganda diamond tu hamna namna hapo. Kuzaa kwa diamond hovyo kumempoteza Hadi nuru usoni huyo diamond, mamake ana weka too much pressure kwenye mahusiano ya mwanawe.
Mimi ctaki mwanaume aliyezaa kuwa naye ni kero tu
Lila mtu ana fungu lake duniani mkuu Mimi siwezi kuua mtu kuzaa na flani maana Ni choice na Mimi naweza piaPole unaongea kwa uchungu sana[emoji23][emoji23][emoji23], ndo maisha , aliyepewa kapewa
Bora waoane wenyewe kwa wenyewe hapo angalau yaani mwenye mtoto na mwenye mtoto ila sio me Sina mtoto eti nioe mwenye watoto hapana aiseee mambo yakupasha viporo sitaki aiseeNdio nashangaa anatumia watoto kujirudisha, diamond mwenyewe hayuko happy ni Kama kafosiwa tu mwishowe wamuue kwa pressure za wanawake, na zari na watoto wote hao Nani angemuoa, chance aliyo nayo ni kumganda diamond tu hamna namna hapo. Kuzaa kwa diamond hovyo kumempoteza Hadi nuru usoni huyo diamond, mamake ana weka too much pressure kwenye mahusiano ya mwanawe.
Mimi ctaki mwanaume aliyezaa kuwa naye ni kero tu
Hiyo ndo solution tu pekee Kwanza waliozaa bado Wana machungu yao so Lila mtu akiwa na watoto aliozaa before hapo mtaendana tuBora waoane wenyewe kwa wenyewe hapo angalau yaani mwenye mtoto na mwenye mtoto ila sio me Sina mtoto eti nioe mwenye watoto hapana aiseee mambo yakupasha viporo sitaki aisee
Mkuu ulidhani huku sitii maguu?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]Kumbe wew hadi huku upo mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha ha[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Unatafuta binamu warumi akuchambe tu hapa
Afu wababa wengi ndivyo walivyo na mabinti zao
Kampa kiki au wamepeana. Diamond kafanya mangapi na hamna hata aliyekua na time naye. Check alivyokuja zari kila kona ni wao tu. Wale nyota zao zinang'aa wakiwa pamoja. Habari ndio hiyoNa yule manzi nimeamini bila Diamond hawezi kuwa maarufu. Mondi kampa kiki sana
Ni mama mtu mzima kabisa hata live...Jamani huyo si kibonge kabisa like big show na anaonekana mama mtu mzima, kweli mitandao si ya kuiamini
Kumbe huku ndo hobby yako, mambo ya udakuz na u celebratizzz [emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu ulidhani huku sitii maguu?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
Huku ndo home sasa