Duh!Daaah!! Umenifungua akili sana, wewe Dada, ni kadogo lkn kameingia uzuri, unatumia kinywaji gani tafadhali chukua hapo kwa Mpemba...
Nina ma x- wawili wote wana mtoto mmoja mmoja lkn hawajazaa huko walikoenda, ni matasa, sasa naona wanatumia watoto kutaka kuja!!! mmoja kanipa na hela kabisaaa tena nyingi tu!!!
Nimeona clip waandishi wanamuhoji tifa,wanauliza maswali ya kipuuzi broken english balaa.Leo Nina raha warumi mie Jaman khaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona clip waandishi wanamuhoji tifa,wanauliza maswali ya kipuuzi broken english balaa.
Sijui walijua ni mai zumo mana ndio hajui lugha
Ndo maana anajistukia!Picha za mtandaoni kibokoo zari mnene balaa
haaaaaaaa" Tiffah what have been south to tanzania have been" tiffah yuko haaaa[emoji849][emoji849]
Hivi huwa anatumia application gani kuji edit hafu kumbe ni mfupi na bonge hivo ig akipost kiuno mdogo. Kweli usione mtu mtandaoni ukatamani uwe ka yeye utaumiaNdo maana anajistukia!
Yaan ye mgeni lkn anaongea kuliko wenyeji[emoji848]
Limkono sasa![emoji15] Ile shape hata nayo haionekani yaan ni kaumuka balaa
Halafu mbona domo hana raha kabisa!?
Huu ugeni aliubariki kweli? Au ni ma dangote katuma nauli? Hana raha kabisa jamaa kama kafosiwa hivi
Aisee nimeshangaa Sana hafu kumbe ni mfupi hivo huo mkono tu ni paja la mtuPicha za mtandaoni kibokoo zari mnene balaa
Ni kuwa makini wanawake twaweza ishi na mtu hatumpendi na huwa hatusahau machungu so ukiona anajirudisha ana lake jambo, na ukicheza wanakuharibia mahusiano yako mapyaDaaah!! Umenifungua akili sana, wewe Dada, ni kadogo lkn kameingia uzuri, unatumia kinywaji gani tafadhali chukua hapo kwa Mpemba...
Nina ma x- wawili wote wana mtoto mmoja mmoja lkn hawajazaa huko walikoenda, ni matasa, sasa naona wanatumia watoto kutaka kuja!!! mmoja kanipa na hela kabisaaa tena nyingi tu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaan huyo mtoto wa kiume anafanana sana na marehemu baba ake wa kambo
nimepitia uzi wote ila comment yako ndo imenivuta.Mbongo mpe title habari kamili yote atakupa.
watu wanasema tu...Wewe unaweza watuma watoto wako kweli?[emoji849]
Jitahidi uende mlimani city pale hakosi utajionea mwenyewe, kipindi cha gsmall alivyokuja nilichoka, nikasema ndo huyu wa mitandaoni!Hivi huwa anatumia application gani kuji edit hafu kumbe ni mfupi na bonge hivo ig akipost kiuno mdogo. Kweli usione mtu mtandaoni ukatamani uwe ka yeye utaumia
Jitahidi uende mlimani city pale hakosi utajionea mwenyewe, kipindi cha gsmall alivyokuja nilichoka, nikasema ndo huyu wa mitandaoni!
Ni mfupi, usoni anajitandika heavy bright makeup, halafu live anakosa confo kabisa full heshima [emoji16][emoji16], kamkute mitandaoni sasa full kutuchamba kuwa sisi ni vilaza[emoji848][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile clip nlicheka hatareeeh, waandishi wanatoa broken English shishi mwenyewe akasome lolNimeona clip waandishi wanamuhoji tifa,wanauliza maswali ya kipuuzi broken english balaa.
Sijui walijua ni mai zumo mana ndio hajui lugha
Sijui ni akili yangu ama?? Naona zari hajakosea kuwaleta watt wake kwa baba yao. Na huwez kuwaleta nikaondoka ama ukawa hotelin ikiwa wanakuja kwa baba yao. No ngumu sana kumleta mtt kwa baba day utakaa hotelin wakati nyumban wapo where they can feel comfortable and have their freedom. WAtu wanadhani anatafuta kuongelewa vipu kwan tika aachane na chibu hajaishi maisha bora zaidi?Wewe unaweza watuma watoto wako kweli?[emoji849]
Naomba picha jaman ya zari akitua Dar na watt nione huo ubonge wake mnaousemaLeo Nina raha warumi mie Jaman khaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16]walijua wanaongea na mai zumo wa uswahilini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile clip nlicheka hatareeeh, waandishi wanatoa broken English shishi mwenyewe akasome lol
[emoji3][emoji3][emoji3] tiffah anabaki kuduwaaa "haaaaah"[emoji16][emoji16]walijua wanaongea na mai zumo wa uswahilini
Shida ya watangazaji wa tv uchwara wamezoea kuhoji wauza sura na papa[emoji3][emoji3][emoji3] tiffah anabaki kuduwaaa "haaaaah"