Zari nakuomba umsaidie Wema Sepetu kulipia umeme, TANESCO wanamuadhiri

Zari nakuomba umsaidie Wema Sepetu kulipia umeme, TANESCO wanamuadhiri

Sasa zari anahusika nini na umeme wa wema....uchokozi tu
 
Leo wema kakutwa kajiungia umeme kwa nia ya kukwepa kulipa malipo halali,natumia fursa hii kumuomba zari amsaidie wema kulipia bili amgalau miezi mitatu ili wema asherwkee sikukuu kwenye mwanga sio Giza,nawasilisha

Huu ni ushamba shughulika na mambo yako
 
Bongo raha.

Biashara ya 700M. Unashindwa kulipa umeme wa nyumbani
 
Ukitaka kujua wasanii wa bongo na wapambe wao waongo, Ngoja wapate Tatizo ndo utajua
 
wema ahahaha anahujumu uchumi sheria ichukue mkondo wake kwa huyu mwiz wema sepetu ahahaha aibuuuu
 
Tetesi au
Weka source ya habari
Na hizo picha sio unaongea tuu
 
Wema kweli hawezi kulipia hata laki 1 ya umeme kwa mwezi? Umeme wa laki 1 ni units karibia 261,Ana kiwanda ndani? Units 9 kwa siku hazimtoshi? Huyu ni wa kufungwa kwa kuhujumu uchumi.
 
Ina maana mwili haumwezeshi kulipia umeme ??
 
Bongo raha.

Biashara ya 700M. Unashindwa kulipa umeme wa nyumbani

Ingekuwa yake kawekeza sawa

Hapo kasaidia jina tu kama kaweka basi ni muda wake wa kutangaza na jina lake kutumika.

Ila biashara ya rangi za lipu sitiki ,ilianza hata wiki haikufika bei ikawa nusu labda sasa hivi imeshuka tena wateja hakuna hana mvuti wa kuuza jina lake

Pole kwa aliyewekesha lazima anajuta maana walifikiri elfu 40 kwa moja zitamaluzwa ndani ya siku kumbe ikawa ndoto ambayo hawakuamini macho.

Nyumba ya kypanga labda anadaiwa hata malipo ya nyumba

Idria atauza mjengo wake kumkombia au ataamia kwake
 
Ingekuwa yake kawekeza sawa

Hapo kasaidia jina tu kama kaweka basi ni muda wake wa kutangaza na jina lake kutumika.

Ila biashara ya rangi za lipu sitiki ,ilianza hata wiki haikufika bei ikawa nusu labda sasa hivi imeshuka tena wateja hakuna hana mvuti wa kuuza jina lake

Pole kwa aliyewekesha lazima anajuta maana walifikiri elfu 40 kwa moja zitamaluzwa ndani ya siku kumbe ikawa ndoto ambayo hawakuamini macho.

Nyumba ya kypanga labda anadaiwa hata malipo ya nyumba

Idria atauza mjengo wake kumkombia au ataamia kwake

Mmmmmmmmmh
 
Na kweli naunga mkono Zari kumsaidia mwenzake maana ndio utamaduni wa mwafrika...
 
Back
Top Bottom