Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kinachowauma ni wale watoto,huku don huku dai na nyumba zipo mali zipo na bado anadaka madili mbali mbali wacha wachanganyikiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watatoka hadi jasho la meno.
Zari ni zaidi ya mwanamke. Wanavyozidi kumchukia wanazidi kujiumiza tu maana analolifanya kesho yake ni kubwa zaidi ya alilofanya jana.