Zari: Success is not sexually transmitted !

Zari: Success is not sexually transmitted !

Kinachowauma ni wale watoto,huku don huku dai na nyumba zipo mali zipo na bado anadaka madili mbali mbali wacha wachanganyikiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watatoka hadi jasho la meno.
Zari ni zaidi ya mwanamke. Wanavyozidi kumchukia wanazidi kujiumiza tu maana analolifanya kesho yake ni kubwa zaidi ya alilofanya jana.
 
Thubutuuuuu mwanaume kakuacha hata msamaha hajawahi kuombwa wlaa kubembelezwa warudiane angalia BBC alivyosema mpaka kujiliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na siku mondi akiongea mtaliaa maana anamchokonoaa na mond akimtaka zari zari hana ubavu wa kukataa
Sidhan km zari ana shida na mond tena. Km aliweza kumuacha the don sidhani km hapa anapata shida, na kumuongelea ni kwsbb anaulizwa na watangazaji. Kwhy we unataka asijibu maswali ili iweje?
 
Sidhan km zari ana shida na mond tena. Km aliweza kumuacha the don sidhani km hapa anapata shida, na kumuongelea ni kwsbb anaulizwa na watangazaji. Kwhy we unataka asijibu maswali ili iweje?
Lazima ajibu ,kumuongelea ongelea ni anataka daimond amsikilize amtafute,Daimond hana habari na zari muacheni awe na mabinti size yake jamani zari atapata wa kufanana nae msijali
 
Wanawake itachukua muda sana kufanikiwa sababu hatupendani. Tunajua kutafuta kasoro ambazo hata hazipo kwa sababu tu ya chuki binafsi. Badala ya kutumia huo muda kujifunza.Acha sisi tuendelee kujifunza.
For sure.... Tubadili mind set tujikomboe kwenye uchumi.
 
Bila Ivan ungekuwa huna kituuu hata mi Za G nazimiliki basi na boss lady
Wote na Ivan walianzia chini. Hakumkuta na pesa Ivan. Pia trust me Zari angekuwa hayupo vizuri kichwan hata hizo mali alizokuwa anamiliki na Ivan angekuwa kazipukutisha kwa kiasi kikubwa. So anastahili pongezi zake sana
 
Back
Top Bottom