TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
No need to hate let us be inspired....Mtu akikuzidi kila kitu lazima umchukue[emoji23][emoji23] pole chuki ni ugonjwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No need to hate let us be inspired....Mtu akikuzidi kila kitu lazima umchukue[emoji23][emoji23] pole chuki ni ugonjwa.
Kabisa. Watu hawataki kuzungumzia mafanikio yake na kujifunza ni chuki tu.No need to hate let us be inspired....
Halafu watoto wa Zara hawana kwashiokor it's their bodies structures.. Wana small body frame
Wapi umeona nikimchukia Hamisa mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo wewe ili kumpenda Hamisa lazima umchukie Zari [emoji23][emoji23][emoji23] Doh kazi unayo.
Sawa mamaYou can say it again and again.. Tufanye kazi tu.. Let's be inspired by people ambao wametuzidi
Hapo sasa Mwanamke anaye mchukia Zari ana Wivu tu na si kingine [emoji23] anaweza kumpenda Hamisa na Wema bila kumchukia Zari.Yaan mara mbona mnamchukia wema mara mara hamisa hawaelewek hasa wanamtetea nani ili mradi wanajitafutia ka sababu ka kumchukia zari
Safari ni ndefu sana kwa wanawake.... In short the lady is living large... In the past three days ametrend sanaKabisa. Watu hawataki kuzungumzia mafanikio yake na kujifunza ni chuki tu.
Hapo sasa Mwanamke anaye mchukia Zari ana Wivu tu na si kingine [emoji23] anaweza kumpenda Hamisa na Wema bila kumchukia Zari.
Huyu mwanamke kwake kuna mengi ya kujifunza kuliko chuki.
Hahhahahaha.. Too sad Kwa Kweli.. Mi kuna mambo mengi sana najifunza toka Kwa huyu dada....Kabisa maana nikimuangalia zara ni mwembamba na mumewe pia mwembamba so watoto kuwa vibonge labda ukubwan,hawa watu walikua wanamsema zari kuzaa watoto weusi,kapata akina tiffa nillan weupe wamegeukia watoto wa ndugu wa zari
Ni zaidi ya Mwanamke anayejituma.Safari ni ndefu sana kwa wanawake.... In short the lady is living large... In the past three days ametrend sana
Sure.. Mi najifunza mengi sana toka kwake...Hapo sasa Mwanamke anaye mchukia Zari ana Wivu tu na si kingine [emoji23] anaweza kumpenda Hamisa na Wema bila kumchukia Zari.
Huyu mwanamke kwake kuna mengi ya kujifunza kuliko chuki.
Too much negative energy is being used to pull Zari off the track... But she's still moving forwardHalafu hawampend hamisa bali unafiki tu,hamisa wao kafungua duka la nguo sion anaepost hata uzi wa kumsifia kafungua biashara,juzi kati kawa jaji wa shindano la umiss watu kimya ila dili za zari zinawatoa jasho la ulimi kutwa kutafuta maneno makali ya kumshusha
Wanawake itachukua muda sana kufanikiwa sababu hatupendani. Tunajua kutafuta kasoro ambazo hata hazipo kwa sababu tu ya chuki binafsi. Badala ya kutumia huo muda kujifunza.Acha sisi tuendelee kujifunza.Sure.. Mi najifunza mengi sana toka kwake...
Point, nimekupenda bureHalafu hawampend hamisa bali unafiki tu,hamisa wao kafungua duka la nguo sion anaepost hata uzi wa kumsifia kafungua biashara,juzi kati kawa jaji wa shindano la umiss watu kimya ila dili za zari zinawatoa jasho la ulimi kutwa kutafuta maneno makali ya kumshusha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watatoka hadi jasho la meno.Halafu hawampend hamisa bali unafiki tu,hamisa wao kafungua duka la nguo sion anaepost hata uzi wa kumsifia kafungua biashara,juzi kati kawa jaji wa shindano la umiss watu kimya ila dili za zari zinawatoa jasho la ulimi kutwa kutafuta maneno makali ya kumshusha
Hakika, mond mwenyewe hapo atakuwa anatamani kurudiana nae ila basi tu hana Uwezo.Ni zaidi ya Mwanamke anayejituma.
Hahhahahaha.. Too sad Kwa Kweli.. Mi kuna mambo mengi sana najifunza toka Kwa huyu dada....
Too much negative energy is being used to pull Zari off the track... But she's still moving forward
Katrend kumshinda ht mond waliekuwa wanasema ndio kampaisha.Safari ni ndefu sana kwa wanawake.... In short the lady is living large... In the past three days ametrend sana
Thubutuuuuu mwanaume kakuacha hata msamaha hajawahi kuombwa wlaa kubembelezwa warudiane angalia BBC alivyosema mpaka kujiliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na siku mondi akiongea mtaliaa maana anamchokonoaa na mond akimtaka zari zari hana ubavu wa kukataaHakika, mond mwenyewe hapo atakuwa anatamani kurudiana nae ila basi tu hana Uwezo.