warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Kupitia ukurusa wake wa instagram , mjasiriamali maarufu na mzazi mwenzie na diamond Platnum's, zari the bosslady aka kiboko ya masista duu africa mashariki, amepost ujumbe wenye UTATA na kuwaacha mashabiki wake kwenya hali ya sintofahamu kuhusu caption yake hiyo, ambayo wapeku Peku wanadai unaweza kuwa ujumbe wa hasimu wak hamissa mobeto, kuwa asidhanie kuwa mafanikio yanaambukizwa au huja kwa njia ya kufanya ngono na mtu aliyefanikiwa .
Hiyo tafsiri ni kwa mujibu ya wapeku peku akina warumi, hatujajua kama zari alilenga kumponda mtu au ujumbe tu wa kawaida
Hiyo tafsiri ni kwa mujibu ya wapeku peku akina warumi, hatujajua kama zari alilenga kumponda mtu au ujumbe tu wa kawaida