Zari 'The Boss Lady' VS Chagga Barbie 'Muke ya Mganda'

Zari 'The Boss Lady' VS Chagga Barbie 'Muke ya Mganda'

Yaani kabisa na wewe unaamini kwamba mimba ni ya Katunzi? hahahahaha, kweli haya ni mahaba first class halafu ulivyo na changamoto ngumu siku hizi manake unalazimika ku-balance mahaba kwa Chibu na kwa Wema!!! HOE rafiki yangu, kubali tu matokeo kwamba kwa sasa Wema na Chibu ndo basi tena, asubiri tu wakati mwingine labda watarejeana! By the way, ukiwa unaamini ni ya Katunzi, ni kitu gani kinaweza kukufanya usiamini kwamba ni ya Diamond? Au Diamond hajawahi kummega Zari?

Hahahaaa u kill it rafiki! chige Ndo maana huwa nakupenda. Chibu akivamiwa tu unakuja chap ku balance story, afu hunaga biases kabisa. Alosema mimba ya katunzi ni adui wa zari ni nani mwenye akili timamu kuamini? Kwa fact zipi labda? Ndo hizo za chibu hazalishi au? Hao mademu wa chibu walosema chibu hazalishi ni yupi kati yao ameshabeba mimba ya mwanaume mwingine? Mfyuuuuuuuuuuuuu😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏. Afu kwa guts zipi zari akawa anamperemba Dai ili alelee ujauzito usiokuwa wake? Ndo kusema kati ya wanaume wote wa Zari chibu anahela sana hadi asingiziwe mimba au? NO Hell noooooo.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa u kill it rafiki! chige Ndo maana huwa nakupenda. Chibu akivamiwa tu unakuja chap ku balance story, afu hunaga biases kabisa. Alosema mimba ya katunzi ni adui wa zari ni nani mwenye akili timamu kuamini? Kwa fact zipi labda? Ndo hizo za chibu hazalishi au? Hao mademu wa chibu walosema chibu hazalishi ni yupi kati yao ameshabeba mimba ya mwanaume mwingine? Mfyuuuuuuuuuuuuu😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏. Afu kwa guts zipi zari akawa anamperemba Dai ili alelee ujauzito usiokuwa wake? Ndo kusema kati ya wanaume wote wa Zari chibu anahela sana hadi asingiziwe mimba au? NO Hell noooooo.

Mtajibebaaaaaaaaaaaaaa #KATUNZI
 
Last edited by a moderator:
haaaaaaaaaaa Rutta ulivyomshushua binamu sasa LOL

AHahahaha hawana lolote, wananichokonoa ili niropoke, watamuwezea wapi warumi? Nilikuwepo, nipo na nitakuwepo, tutakutana apa mtakuja, hiiiii, nani kanunaaa? Nani anaharishaaaa? Aaaahaaaaah fragile zitawahusu mwaka huu,keep my words binamu, wala usiwe na papara, nataka uwe shuhuda, [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Save]#Save [/URL] the date [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Save]#Save [/URL] the name KATUNZI, save zaris pregnancy scandals
 
Last edited by a moderator:
Mbea hadanganyagi binamu, na sio kila kitu unachosikia lazima ukiamini au kukitilia maana, bali ni ALERT ambapo baadae ikija kuthibitishwa ndo unaanza sasa kuunganisha vipande vya filamu kuwa aah kumbe warumi umbea wake ulikuwa kweli?

Mimba ya aunty ezekiel ilianza kutajwa toka ina miezi michache, ambapo haiwezi kujulikana, wambea tukazusha kuwa ana mimba na mwenyewe akakataa, je sasa ivi unamuonaje aunty? Tuache wambea na kazi yetu, au kuna MAHAKAMA YA WAMBEA utupeleke kisa hatuna ushahidi?

Ya siwema na obasanjo kwani siwema mwenyewe alisema kuwa anagongwa na obasanjo? Ilikuwaje ikajulikana? Acha kudharau kazi za umbea za watu, tunajua tunachokifanya.

MImi humu nawasiliana na kila mtu, mastaa, watu wa kawaida, so kuwa mpole mbea hafungwi, na sio lazima unachokisikia
Mpwa, hujajibu swali langu la msingi! Point ni kwamba, ili mradi hutatumia vipimo vya DNA basi kitakachokuongoza ni hisia na sio facts na kutokana na hilo, ndipo nimehoji: ikiwa huwezi kuamini kwamba ni ya Chibu ni kipi kitakachokufanya uamini ni ya Katunzi? Kwa mfano, tuchukulie suala la Jide na Gardiner... ingawaje inawezekana kabisa kwamba kwa sasa hata Gardner ana tatizo la uzazi ndio maana kwa muda wote ameshindwa kumpiga mimba Jide lakini so long as hatuna vipimo basi watu watasimamia hoja kwamba ni Jide ndie asiye na uwezo wa kubeba mimba coz' huyo Gardner tayari ana mtoto kama sio watoto... kumbe wakati tunaamini hivyo, inawezekana kabisa kwamba kumbe hata Gardber mwenyewe hana uwezo huo kwa sasa! Ndio maana nikakuuliza, ikiwa unaamini sio ya Chibu, ni kipi basi kinakufanya uamini ni ya Katunzi??!!

Kuhusu kuwasiliana na kila mtu, bado haiwezi kuwa kigezo... hata kama utawasiliana na Katunzi mwenyewe hakuna atakachokuthibitishia zaidi ya kusema alilala na Zari katika kipindi inachohisiwa Zari alinasa ujauzito! Aidha, mpwa usisahau jamvi hili hili hapo awali, hoja ilikuwa ni kwamba Chibu hana uwezo wa kupiga mimba, iliposemekana Zari kapigwa ujauzito, stori ambazo zilifuata ni kwamba sio kweli, hana cha mimba wala nini bali ni zile drama. Ilipoanza kuthibitika kwamba ana mimba, stori zinabadilika tena kwamba mimba sio ya Diamond bali ni ya Katunzi! Labda nikukumbushe tu kwamba, zamani sana nilishaema humu jamvini kwamba hata mimba ikishathibitika, watu watasema sio ya Diamond... kwa hiyo ndo yale yale tu!
 
Kama alimshindwa mwanaume aliyekuwa anampa kila kitu pamoja na utajiri wa kutisha, atamuweza diamond mtoto wa tandale? #KATUNZI , Coming soon
Mpwa bhana, yaani sometime unakuwa kama high school kid! Hivi nani kakuambia mwanamke ndani ya nyumba anaenziwa na mipesa na material things? Umeshawahi kusikia simulizi ya mfalme na mke wake kwa upande mmoja na masikini na mke wake kwa upande mwingine?
 
Acha dymonde ale k ya bei ghari bwanaa, wale vituko wa tz hawana mapenzi ya kweli.
 
Hili swala la Katunzi ni katika kumuumiza Nassib tu.Ivi swala lenyewe kasema chaga tena kaambiwa na Ivan.Ivan ni dume la ajabu kabisa na lina machungu mno na Zarina.

hapana chezea kuachana na.mke mzuri afu anaona kijana mdogo anajitafunia lazma aumie
 
Mimi siamini mimba iwe ya mwanaume mwingine halaf huyo mwanaume akubali mimba ibemendwe na daimond neh nehi papaaaa,hata ikiwa hivyo anajidanganya zari mwenyewee
hakuna mwanaume.anaeweza fanya hii ujinga
 
Haya kasikilizeni mwimbo mpya wa Chibu na Khadija Kopa- kumekucha
 
Huyo chaga picha zote anatoa online zipo muda wala asijifanye ametumiwa ma Ivan. Ni yeye amashinda online ana sechi.

Zari ni kipenzi wa paparazi kila afanyalo hao haswa huko Uganda.

Picha waliokuwa wanabusana na demu hiyo imeandikwa online ni wakati ameolewa na mumewe alikuwepo wakicheza ile mchezo wa dare kwa kuzungusha chupa.

So chaga asizani watu au waTanzania wote wajinga kama hao timu ----- wanaofata kila lisemalwo bila kufikiria kisa wivu. Wivu.

Chaga kakuta kaomba pesa kanyimwa kwa sababu ex ana share alidhani akiomba Mungi siku moja akapata pepa akasafiri atachukua cheo cha Zari kakuta hakuna kitu.

Yaani hiyi stella tillya yeye anasikitisha wivu kwa ex wa mwanaume hata udu.du haujakuonja je alieenda SA akaonjwa asemeje?

Tamaa ya pesa tu hakuna jipya.
 
mzurimie mmmh nanii kumbe ameonjwa???:ballchain:

Mtu ambae hajaonjwa hawezi kutoka SA akatangaza kuwa ataolewa na ex-mume. Hadi mashoga wameandika kuwa ni siri yao hawataki ijulikane sasa sijui wanjera ndio yupo mstarini na chaga wakishindana kichini chini au ndio wameona Z ana usemi katika pesa chezea 50/50 mtu mkianza bila kitu.
 
Last edited by a moderator:
Team zari oyeee kivyangu mm hata zari afulie kiasi gani but namkubari ilee mbayaa......kwanza hana tabia za kiswahili kama zakina chagga bebi pili cjawah kuona chagga beb kapost picha yupo ndani kwake yaan yy ni gym tu hotel
 
Mtu ambae hajaonjwa hawezi kutoka SA akatangaza kuwa ataolewa na ex-mume. Hadi mashoga wameandika kuwa ni siri yao hawataki ijulikane sasa sijui wanjera ndio yupo mstarini na chaga wakishindana kichini chini au ndio wameona Z ana usemi katika pesa chezea 50/50 mtu mkianza bila kitu.

ha ha ha wanjeraaa eti anataka.kuolewa
 
Back
Top Bottom