Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #261
Team zari oyeee kivyangu mm hata zari afulie kiasi gani but namkubari ilee mbayaa......kwanza hana tabia za kiswahili kama zakina chagga bebi pili cjawah kuona chagga beb kapost picha yupo ndani kwake yaan yy ni gym tu hotel
gym, studio na hotelini...
Yaani kabisa na wewe unaamini kwamba mimba ni ya Katunzi? hahahahaha, kweli haya ni mahaba first class halafu ulivyo na changamoto ngumu siku hizi manake unalazimika ku-balance mahaba kwa Chibu na kwa Wema!!! HOE rafiki yangu, kubali tu matokeo kwamba kwa sasa Wema na Chibu ndo basi tena, asubiri tu wakati mwingine labda watarejeana! By the way, ukiwa unaamini ni ya Katunzi, ni kitu gani kinaweza kukufanya usiamini kwamba ni ya Diamond? Au Diamond hajawahi kummega Zari?
Wema sepetu, the woman who knows more about the game, the woman who knows more about diamond, the woman who knows more about zaris pregnancy. KATUNZI ndio jina la mchezo
Mpwa bhana, yaani sometime unakuwa kama high school kid! Hivi nani kakuambia mwanamke ndani ya nyumba anaenziwa na mipesa na material things? Umeshawahi kusikia simulizi ya mfalme na mke wake kwa upande mmoja na masikini na mke wake kwa upande mwingine?
Team zari oyeee kivyangu mm hata zari afulie kiasi gani but namkubari ilee mbayaa......kwanza hana tabia za kiswahili kama zakina chagga bebi pili cjawah kuona chagga beb kapost picha yupo ndani kwake yaan yy ni gym tu hotel
hii makitu ime back for good? oh sometimes mods r royal.....
jamaniii dimond ametoa video yake mpya muda mwafakaaa!!!! hicho kichambo ndaniiii!! balaaaa!!! malkia wa mipasho anasema ... utavunja balbu mwaka huuu maana nazi zimepanda beiiiii!!! chage bebiii tunasema naweeeeee!!! usiyekataaa tongozooooo!!! ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii i
jamaniii dimond ametoa video yake mpya muda mwafakaaa!!!! hicho kichambo ndaniiii!! balaaaa!!! malkia wa mipasho anasema ... utavunja balbu mwaka huuu maana nazi zimepanda beiiiii!!! chage bebiii tunasema naweeeeee!!! usiyekataaa tongozooooo!!! ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii i
Teh Teh huu Wimbo nimetoka kuuangalia na sema wazi Kabisa Diamond ni msanii bora kabisa Tanzania...hapa ndio ana tofautiana na Wengine..amenza na Video kali hakika wimbo mzuri!
Huyu kijana amebarikiwa sana....
Jamanii mummfollow who is the boss muone picha za chaga bibi za zamani hadi akiwa hospitali yaan hadi mashavu kafanyiwa upasuajii hhhhhhhaaaaaaaa
Lakini wenye roho mbaya watabishaaaaaa kwenye keyboard lakin wanamsikiliza balaaaa
Jamanii mummfollow who is the boss muone picha za chaga bibi za zamani hadi akiwa hospitali yaan hadi mashavu kafanyiwa upasuajii hhhhhhhaaaaaaaa
Shoga nlishamfolow yani chaga bibi fake fake! Ndio maana anakazana kusema Zari ni fake akat mwenzie since her teenage yrs alikua mtamu.kwanza mamake Zary ni muhind so rang ya mtume inamhusu