zari's jewelry haiuzi au??na yale maduka ya nguo??mmh labda
Mlijuaje kadokoaa,!
Zari ana pesa buanaaa utawaweza team upepo
chaggabarbie kabadilisha avatar yake saiv anajiita mukeyamganda kafuta ile post ya michambo.....ila hii movie badae diamond ataloose na kuangukia pua Zari na Ivan wala hawajaachana kama unafatilia account ya Ivan utaona kila anachopost Ivan Zari anacomment na kueka vile vikatuni vya kopa aka love na Ivan nae anareply back kushow love nae anacomment kwenye account ya Zari kwa kueka love ivo huu ni mchezo tu wala msitekwe na hawa watu ila kaeni mkijua kua hii game Diamond atafeli very soon
Ila binafsi issue ya zari na ivan naona kama nj changa la macho......wametumia kuwavua watz...
Ukitizama zari akirudi sa nyumba anayoposti ni the same kama atayoposti ivan...tofauti ni angles tu
Hawa wanacheza na akili za watz...na washawajua washamba wa IG basi wanawavuna tu
chaggabarbie kabadilisha avatar yake saiv anajiita mukeyamganda kafuta ile post ya michambo.....ila hii movie badae diamond ataloose na kuangukia pua Zari na Ivan wala hawajaachana kama unafatilia account ya Ivan utaona kila anachopost Ivan Zari anacomment na kueka vile vikatuni vya kopa aka love na Ivan nae anareply back kushow love nae anacomment kwenye account ya Zari kwa kueka love ivo huu ni mchezo tu wala msitekwe na hawa watu ila kaeni mkijua kua hii game Diamond atafeli very soon
KAka yetu kashawekeza mbegu muwaache walale
Hujaona pm yangu????😈😈😈
Hata mi nishahisia hivyooo ila huyo ivan hayo madorali mweeeeee acha wqtu wagombanee
Lakini chagga kweli sura imemshuka loooo.
Yeye kila bwana kumuweka instagram loo akiachika sasa full kutangaza vibamia.
Yule prezzoo anaubamia gani kama bibie hana rambo....
Pole sana ivan
Hahahahahahahaha Warumi umenichekesha mpaka basi kwa hiyo ndugu, jamaa na marafiki wanakuogopa kama ukoma? Umbea mtamuLoh binamu utaniponza mwenzio ujue? Si unanijua binamu yako domo langu lisivyokuwa na break? Apa nimetengwa na ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya umbea, maana nshaharibu ndoa za watu kama nne kwa ajili ya umbea, nionee huruma binamu maana mie domo langu nalijua mwenyew
Ngoja movie liishe...
Ivan atajutraaaa
mtu mzima yule hampati zari ht kwa dawaLakini chagga kweli sura imemshuka loooo.
Yeye kila bwana kumuweka instagram loo akiachika sasa full kutangaza vibamia.
Yule prezzoo anaubamia gani kama bibie hana rambo....
Pole sana ivan
Muuza nyapu ya kimataifa kwa bei chakavu
Bora Vera anauza kwa $15,000.... stella yake $100 tu
mtu mzima yule hampati zari ht kwa dawa
hhhhahahaaaaa
Hapo kafanya plastic surgery yupo hivyo na hajazaa akizaa sasa itakuwaje
yule ni chaga bibi sio chaga baby
eti muke ya mganda...!!
hhhhhahahaaaaa