Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

Ungesema ameruka mavi akakanyaga mkojo, kiafya ni bora ule mavi kuliko kunywa mkojo mkuu..
Diamond ndio mavi kwasababu Ivan alikuwa na pesa kuzidi diamond pia Ivan alikuwa na umri mkubwa kumzidi diamond
 
Diamond ndio mavi kwasababu Ivan alikuwa na pesa kuzidi diamond pia Ivan alikuwa na umri mkubwa kumzidi diamond

Nyumba ya Madale, Zari ndiyo aliimalizia kuwa ilivyo hadi leo. Dee wivu tu umemjaa baada ya kuona Kingbae yupo kuoa kabisa.
 
Mwanamke ukikaa na mwanaume miaka zaidi ya 7 halafu ukaanza kurukaruka, huko unakokwenda utaishia motoni.
Bibie alitafuta a man who is sexy and fluent in English, Ivan na pesa zake zote lakini hakuwa na shule, alikuwa mnene na tumbo. Kitu ambacho wanawake hatujui ni kuwa, mwanaume anaekuenzi muenzi, utaishi kama malkia. Kwa Ivan Zari was his Queen.
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Zarina na Mange wate ni wanawake na wanachokitegemea ni hicho hicho...

Diamond hana adabu tuu, kwa alichofanya...


Cc: mahondaw
 
My dear pesa wamezitafuta wote mpaka kuja kuwa mamilionea .....ina maana umeshindwa kujua kwamba hiyo picha ni ya mwaka 47 dear???
Kwa Sasa nimekuelewa huwa simfatilii sana huyu mama
 
Bibie alitafuta a man who is sexy and fluent in English, Ivan na pesa zake zote lakini hakuwa na shule, alikuwa mnene na tumbo. Kitu ambacho wanawake hatujui ni kuwa, mwanaume anaekuenzi muenzi, utaishi kama malkia. Kwa Ivan Zari was his Queen.
That is why I admire you Eclat, you are not only a woman but a "Real Wife".
 
1082616
 
Back
Top Bottom