Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Insta kunafuka moshi kwa wapenda ubuyu yaan mambo ni hivii,,ni pale bibi Tukinao mwenye miaka 49 kurusha kombora hili snapchat
nadhan alimpa dongo yule mwenye party Don zella basi bomu likajibiwa hivii na mrembo mwenye figa ya kimataifa Hamissa Mobeto ambae kazidiwa na zari miaka 20
Akajibu hivi
Mrembo akarusha bomu,basi yule bibi kutwa kushindana nae akajibu hivi bi tukinao
na hapo chini akapewa kichambo cha ki pole bibie Kiboko yake le mutuz
Basi hamisa nae akajibu hivi
Misa akaendelea kurusha madongo na kusema yeye ni jeshi la mtu mmoja
Hamisa wetu usife moyo wala usiogope mikwara ya huyo bibi tukinao,tenaaaaa zaa na daimond tena mapacha ili ashindwe hata kutabasamu angekua ana ubavu si angemuacha Daimond,alitaka azae yeye tu sisi wa Tz hatuna k au kizazi,,Hamisa pambana achana na wanaokukatisha tamaa,,Watanzania kawaida yetu kushobokea wageni tunaacha vya kwetu hata kwenye huu uzi watakuja tu
Habari ndio hiyo ukivembewa,ukipata kichefuchefu Kunya tikiti itakusaidia,,
Haya kuleni ubuyu
Akajibu hivi
Mrembo akarusha bomu,basi yule bibi kutwa kushindana nae akajibu hivi bi tukinao
Basi hamisa nae akajibu hivi
Misa akaendelea kurusha madongo na kusema yeye ni jeshi la mtu mmoja
Hamisa wetu usife moyo wala usiogope mikwara ya huyo bibi tukinao,tenaaaaa zaa na daimond tena mapacha ili ashindwe hata kutabasamu angekua ana ubavu si angemuacha Daimond,alitaka azae yeye tu sisi wa Tz hatuna k au kizazi,,Hamisa pambana achana na wanaokukatisha tamaa,,Watanzania kawaida yetu kushobokea wageni tunaacha vya kwetu hata kwenye huu uzi watakuja tu
Habari ndio hiyo ukivembewa,ukipata kichefuchefu Kunya tikiti itakusaidia,,
Haya kuleni ubuyu