Zari vs Hamisa mambo ni hivii instagram

Zari vs Hamisa mambo ni hivii instagram

Status
Not open for further replies.
Ndio maana muda mwingi yupo bongo ,,na ni muislam anaweza oa wanne

Sasa ameenda UG siku moja tena kaiba mke wa mtu na watoto huku Tz kuna wanawake na watoto mbona hawajawaona

Ila papuchi za UG tamu bana na viuno vyao vinazinguka kama ringi. Tz sijui kuna shida gani maana vitumbua vya uku kama vimejazwa hamira kuliko unga labda nd tatizo
 
Unajua nn mkuu,,, Leo hii Maria siku akiolewa ,naye baadae akiojiwa atakuambia ** Mume Wangu tumetoka naye mbali ,sikua nakitu kabisa lkn nashukuru mpaka tulipofikia**.

Nature ya wanadamu ktk mahusiano nimoja.....hata km wamekutana wote wanamaisha safi ,,nilazima aongezee miaka kadhaaa ya shidaaa ,hii ni ilimradi tu ,kuonyesha kua Wametoka mbali na wapi inrealation kwa muda mwingi. .

Tukiachana nahayo ,,Zary nizary nahuwezi kumfananisha na celebrities wahapa Bonge hamnaaa hamna kwasababu hawapo independent wote ni wadangaji !!!! ...kudanga danga ili waishi.
Hata joketi hujamuona? Kweli watanzania tumelogwa
 
Sasa ameenda UG siku moja tena kaiba mke wa mtu na watoto huku Tz kuna wanawake na watoto mbona hawajawaona

Ila papuchi za UG tamu bana na viuno vyao vinazinguka kama ringi. Tz sijui kuna shida gani maana vitumbua vya uku kama vimejazwa hamira kuliko unga labda nd tatizo
Wanawake wa kitanzania ni wazuri na watamu kuliko wa Ug,,uliza wanaume wa Ug,labda wametuzidi maji
 
Wadangaji na wezi wa waume wa wenzao watamsifia huyo mabutu, alie na mume nyumbani akawahi ku experience dharau za michepuko mpaka hapo najua atakua upande upi ilikua na ulazima gani kushindana na zari tarehe moja ya event mnaosema mabutu mdogo mnajidanganya kina miaka 29 endeleeni kumdanganya mitandao inajua kudanganya mno, wanaume tulieni na ndoa zenu na wake zenu ona diamond anavo mletea shida zari kisa umalaya wake

Time will tell alikuepo wema sepetu mkampa bichwaa leo hii miaka imeenda kawa kichekesho hajui hata atulie wapi kabaki kuhama vyama!

Mange uchungu wa kuachwa na mzungu na frustration zote anataka kumtwika zari hata wanao muamini story zake za kubumba nawashangaaga yule kibibi ni psychopath hapendi mwenye nacho hana rafiki hana mume amebaki kudandia maisha ya wengine na kudanganya watu waandamane badala ya kufanya kazi ye kajificha ulaya.
 
Unajua nn mkuu,,, Leo hii Maria siku akiolewa ,naye baadae akiojiwa atakuambia ** Mume Wangu tumetoka naye mbali ,sikua nakitu kabisa lkn nashukuru mpaka tulipofikia**.

Nature ya wanadamu ktk mahusiano nimoja.....hata km wamekutana wote wanamaisha safi ,,nilazima aongezee miaka kadhaaa ya shidaaa ,hii ni ilimradi tu ,kuonyesha kua Wametoka mbali na wapi inrealation kwa muda mwingi. .

Tukiachana nahayo ,,Zary nizary nahuwezi kumfananisha na celebrities wahapa Bonge hamnaaa hamna kwasababu hawapo independent wote ni wadangaji !!!! ...kudanga danga ili waishi.
Pesa ni pesa tu hata zati kadanga sana tu,,unadhan pesa tunajua zinapotoka pesa hata itoke wapi ni tamu,hata majambazi wakiiba wakiwapa wake zao haijalishi imetoka wapi.maana hata ivan nae alikua tapeli tapeli lakin pesa tamu bana
 
Hivi hana muda wa hata kumpa haki yake ya kunyonya mtoto maana tokea kama miezi 2 ameanza masafa hanyonyeshi mtoto kila siku anaachwa na bibi
 
Wadangaji na wezi wa waume wa wenzao vwatamsifia huyo mabutu alie na mume nyumbani akawahi ku experience zarau za michepuko mpaka hapo najua atakua upande upi ilikua na u k azima gani kushindana na zari tarehe moja ya event mnaosema mabutu mdogo mnajidanganya kina miaka 29 endeleeni kumdanganya mitandao inajua kudanganya mno, wanaume tulieni na ndoa zenu na wake zenu ona diamond anavo mletea shida zari kisa umalaya wake

Time will tell alikuepo wema sepetu mkampa bichwaa leo hii miaka imeenda kawa kichekesho hajui hata atulie wapi!

Mange uchungu wa kuachwa na mzungu na frustration zote anataka kumtika zari hata wanao muamini story zake za kubumba nawashangaaga yule kibibi ni psychopath hapendi mwenye nacho hana rafiki hana mume amebaki kudandia maisha ya vwengine na kudanganya watu waandamane badala ya kufanya kazi ye kajificha ulaya.
Nani mme wa mtu we,,hamisa kaanza mahusiano na dai hata kabla ya huyo zari au hili hujui?
Hakuna mwenye ndoa hapo
 
Hawa watu watampa uchizi chuchunge khe khe kheee nyaku nyaku bana
25012314_1628885370466748_7945733284791582720_n.jpg
25014884_143725746347769_6931572767540117504_n.jpg
 
Weeeeeeeee kama hujui nyamaza fstilia upya kabisa,walianza na zari moja
Ila zari kiboko jana uganda kalia eti kisa kajaza,lakim msiba wa mama yake hakulia heko

Maneno ya mange.
Hamna alieona full services za msiba wa ivan au mama yake to judge that she never cried.
Acheni ku justify kuwa hamisa yuko sahihi. Hamisa anajishtukia kila kitu meanwhile pretending hagombani. Wote hawana akili japo zari ana ahueni kuliko huyo hamisa.
Hamisa kishadharauliwa na diamond hadi familia nzima it doesn’t make sense kugombana na zari hata kama wameshea bwana. Mwenzake kawekwa ndani na funguo za nyumba kapewa na akila madale hamisa anapisha,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom