Ma X wa Zari na wa Diamond wanatamani kufa
Amtomb atombek sasa....apige mashine akikaa anachanganyikiwa kwa kumuwaza...!!! 💏💏
Maskini Wema....atakufa kwa pombe kali na ataanza kugawa papuchi hovyo hovyo kwa frastrutions za kuachwa...ndio akome aache umalaya...!!!
Aisee ni hatariiii,sipati picha baba watoto wa Zari,roho inataka kumtoka,Wema nae dozi za vodka zitaongezekaLazima waumie maana ni shiider
Aisee ni hatariiii,sipati picha baba watoto wa Zari,roho inataka kumtoka,Wema nae dozi za vodka zitaongezeka
Unajua Wema,baada ya kusikia habari za Menina akaona ajibu kwa BMW,sasa ndomo akachukia,Wema akamuacha Diamond naona hakuwa kajiandaa kwa lolote,Diamond kaja na kitu Zari.Wema lazima aumie sana tena sana alitegemea labda Chibu atarudi ,kumbe ndo mazimaBaba watoto alishazoea kurushwa roho sidhani kama anayapata maumivu sana, shida ni kwa ndugu yangu Wema, mpaka azoee Dah atakuwa kapata maumivu ya ajabu sana... I think anahitaji mtu wa karibu ili asigide sana vodka
Unajua Wema,baada ya kusikia habari za Menina akaona ajibu kwa BMW,sasa ndomo akachukia,Wema akamuacha Diamond naona hakuwa kajiandaa kwa lolote,Diamond kaja na kitu Zari.Wema lazima aumie sana tena sana alitegemea labda Chibu atarudi ,kumbe ndo mazima
Dai hapo anatumiwa tu,ila wote wanatumianaHuko IG kimenuka doguemasta kamwaga zingine za zari kumbe zari alikamatwa siku ile ya pati asubuhi kaachiwa kwa dhaman du kali
Huko IG kimenuka doguemasta kamwaga zingine za zari kumbe zari alikamatwa siku ile ya pati asubuhi kaachiwa kwa dhaman du kali
Umejiuliza halafu ukajijibu hapo hapo...ha ha haa wee ni mnoooma!Wema ndio amemwacha Chibu sasa kwa nn aumie!! But naturally kuna maumivu anayapata... Hizo pics ni msumari wa moto kwenye kidonda....
Ana mimba yule! Amepata kichefuchefu kikali hawezi kujismatfonisha.Jamani hivi yule msemaji wa domo wa humu jf mbona sikuhizi simsikii?
Umeshushukaje....
Acheni wivu
Palijaa watu na pesa zao kwa mamia walishibdwa kuingia.
Duh wa TZ mna wivuuuuuuuuu umbeya uwongo hauwapeleki kokote
Huko IG kimenuka doguemasta kamwaga zingine za zari kumbe zari alikamatwa siku ile ya pati asubuhi kaachiwa kwa dhaman du kali
Moja kati ya vitu vinavyotutangaza kimataifa ni UMBEA.....kwa hilo hatuna mpinzani....
Muongo tu yule
Ni wapumbavu coz wanashindana kwa kuchafuana! Utafikiri hao kina wahusika wanawafahamu na team zao za kijinga
Unadhani hayo maendeleo tutayapata vipi ikiwa tunatumia siku nzima kuchunguza watu wanaotengeneza maisha yao na kufanya ndoto za maisha yao kuwa kweli.....????Tinajiabisha sana