Zarina Hakujiandaa kwa Shambulio la kustukiza

Kwa kweli sasa hivi zari anahaha!
 
Fanya yote lkn usitembee na ben10.
Ukitmbea nae akianza kukunanga wewe uchune tu. Yule bimdashi kama kweli ni wa viwango asingekubali kuvumiliana na uswahili wetu..hayo angetuachia sisi tu.
Sema yote lkn usishindane na mswahili neno lake moja mzigo.
 
Nani aliyemuanza mwenzie? Apo Ndo utajua nani Ana stress na maisha ya mwenzie, domo Ana demu mpya, why anakazana na zari ? roho inamuuma Ndo bas Tena , toto lishachukuliwa na wenye wadhifa wao.
Eti nini?toto!!usitutanie bhana angalau sema Bibi.
 
Hivi mwanaume anaanzaje kujipima na ex wake kama alishamove on!!
Hivi wasafi ya Diamond au ndo mambo ya Diamond karanga
Aiseee kuwa makini hilo suala kalizungumzia tatizo mnasikiliza vi_clip vya kwenye udaku wala wanajua kucheza na akili zenu wanajua nini mnataka msikie na nini hamfagilii.

Kasema hivi Wasafi media wanashea watu wawili tu yeye na mwingine hakumtaja jina akaulizwa ni nani ila akasema ni mbongo.

Hata diamond karanga, chibu perfume n.k anashea na watu si za kwake peke yake akatolea mfano ciroc ya pdidy nayo si yake peke yake anashea na mtu hata jay z Tidal anashea na watu. IPP yenyewe mengi anashea na watu japo yeye ndo mwenye hisa kibao
 
Umefunga mjadala mzee..!!
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 


Ahahahahahahahhahaha uwiii umemalizaa
 
Naona alipost video akikanusha then akafuta...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muulize anamfahamu linda?(dada yake richard mshindi wa BBA)ana watoto watano kila mmoja ana baba yake na kila mmoja taifa jingine.
Watoto 5 baba 2 it's very normal
Alikiba ana watoto 4 Kila mtoto na mama yake yaani mama 4
 
Duuh!eti kukojoza[emoji16][emoji16][emoji16]!
Na hatimaye kaenda tena ili apewe service.![emoji124][emoji124][emoji124]
 
zarina ni drug dealer, angeendelea kuishi bongo serikali ingemtia pingu, akatafuta visa achomoke bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…