Zarina Hassan na Tanasha ni ndugu, Diamond anachezewa mchezo tu

Zarina Hassan na Tanasha ni ndugu, Diamond anachezewa mchezo tu

MJENGA

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
884
Reaction score
850
Nimeisikia mahali kuwa kumbe mke wa zamani wa Diamond Platnumz na yule wa sasa Tanasha Dona, sijui Sembe, ni ndugu na kwamba Zari anamtumia Tanasha kum-monitor na kum-control Diamond.

Lengo ni kumfilisi kabisa na mwisho wa siku wamwache solemba. Unaambiwa Zari ni mafia aliyeshindikana na kwamba utajiri alionao amekuwa akiupata kwa njia hizo. Hebu wanaofahamu ukweli wa jambo hili tusaidieni nasi tujue!!
 
Kama wewe ni mwanaume hebu tafuta sehemu ya peke ako lia sana then mwisho tamka maneno haya "Eeh Mungu nisaidie mimi pamoja na kizazi changu tuondokane na hizi tabia za upande wa pili ili hali mimi ni mwanaume" Hope utasamehewa na utakuwa mpya kuanzia sasa na uishi kama kidume rijali.
 
KUMFILISI MWENYE AKILI, UTUMIE AKILI SANA.
BANK NDIYO YENYE UWEZO WA KUMFILISI MWENYE AKILI
NA BILA KUSAHAU NDUMBA PIA ZA KUMSHIKA MTU AKILI
 
Kuna watu umbeya uko damuni. Peleka umbeya wako insta. huku si mahali pake.
 
Back
Top Bottom