Zawadi aliyopewa Majaliwa (Shujaa) inaakisi alichofanya? Je, inahamasisha sisi wengine kufanya alichofanya?

Zawadi aliyopewa Majaliwa (Shujaa) inaakisi alichofanya? Je, inahamasisha sisi wengine kufanya alichofanya?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wandugu,
Mimi nimefikiria kuhusu hii Tanzania nabaki nasikitika tu,niannze na watu walionusurika najua huko mliko mnafanya ibada za kushukuru, na wengine mnakata keki.Nawaomba kwa uwingi wenu changeni pesa ya kupata nyumba au boti la uvuvi mpeni huyu kijana aliyewaokoa he unajisikiaje kama nawe ungekuwa umewekewa matanga? Zawadi ya milioni 3 ndogo sana kuokoa maisha ya watu na ikizingatiwa mna uwezo mkubwa ndio maana mkapanda ndege hata mmoja kumpa nyumba huyo kijana mnaweza.
 
kupitia huyu Jasiri na shujaa Majaliwa, vijana mnapaswa mjifunze Uzalendo wa kulipigania Taifa letu la Tanzania wakati wowote mahali popote.

Kuna baadhi ya vijana ikitokea ajali badala ya kuokoa wahanga wao cha kwanza ni kuiba mali.....tuache unyama huo, tuwe binaadamu wenye huruma na uzalendo.

Majaliwa/Jasiri ni mfano wa kuigwa na kila kija
 
Huyu Inafaa atembezwe kwenye mashule yote ya Tanzania na kutoa kisa au mkasa alokutana nao itawasaudia sana watoto kuwa na imani na huruma katika kuwasaidia watu pamoja na kusaidia Taifa letu .
 
Salama wandugu,
Mimi nimefikiria kuhusu hii Tanzania nabaki nasikitika tu,niannze na watu walionusurika najua huko mliko mnafanya ibada za kushukuru, na wengine mnakata keki.Nawaomba kwa uwingi wenu changeni pesa ya kupata nyumba au boti la uvuvi mpeni huyu kijana aliyewaokoa he unajisikiaje kama nawe ungekuwa umewekewa matanga? Zawadi ya milioni 3 ndogo sana kuokoa maisha ya watu na ikizingatiwa mna uwezo mkubwa ndio maana mkapanda ndege hata mmoja kumpa nyumba huyo kijana mnaweza.
Na kwakuwa Majaliwa ni handsome boy, mmoja wa wale warembo wawili wanaohudumu kwenye ndege, awe mke wa Majaliwa.
 
Salama wandugu,
Mimi nimefikiria kuhusu hii Tanzania nabaki nasikitika tu,niannze na watu walionusurika najua huko mliko mnafanya ibada za kushukuru, na wengine mnakata keki.Nawaomba kwa uwingi wenu changeni pesa ya kupata nyumba au boti la uvuvi mpeni huyu kijana aliyewaokoa he unajisikiaje kama nawe ungekuwa umewekewa matanga? Zawadi ya milioni 3 ndogo sana kuokoa maisha ya watu na ikizingatiwa mna uwezo mkubwa ndio maana mkapanda ndege hata mmoja kumpa nyumba huyo kijana mnaweza.
Jamani si kapewa na kazi juu!! Mnataka afanywe nini mbona mnakurupuka. Angepewa milioni 50 mngesema kuna shida ya madarasa ila mnagawa ela ovyo.kikubwa waliopona wamtafute kwa nafasi zao wampe wanachowiwa
 
Muda mwingine mnakosa vitu vya kujadili, ulitaka afanywe mkuu wa mkoa Kwa sababu tu ameokoa watu, kwani kufanya uokozi si ni sehemu ya wajibu wa Kila raia? Amepongezwa Kwa ushujaa wakati wengine mkikazana kupiga picha, amepewa ajira ambayo pengine hakuwa nayo hakuwa na sifa za kuipata lakin kupitia ushujaa wake amepata hivyo fursa, la kujifunza ni kwamba kama imetokea nafasi ya kujitoa jitoe tu bila kuwaza malipo
 
Wapumbafu sana mnajua shida aliyopata kijana na kujikuta na yeye yupo hospitali,.
 
Kibinadamu, shukrani huwezi kuifanyia quantification. Cha kushukuru ameokoa na yuko salama, ameshukuriwa kwa jinsi hali ilivyo.

La maana zaidi ni kua na vifaa na utayari wa kuokoa watu linapotokea janga (response) haya ya kutegemea mtu ajitolea ni kudra za Mungu na ku risk maisha yake.

Walio pewa wajibu wawajibike kuhakikisha mifumo na utayari.

Issue za mtu kujitolea au uzalendo lisizime mjadala wa msingi kua tuliowapa jukumu kununua vifaa kuandaa vikosi kazi wamefanya hayo au la?

I stand to be corrected!
 
Je mnajua kwa nini mabasi yakipinduka watu wanakimbilia kusachi mifukoni
 
kupitia huyu Jasiri na shujaa Majaliwa, vijana mnapaswa mjifunze Uzalendo wa kulipigania Taifa letu la Tanzania wakati wowote mahali popote.

Kuna baadhi ya vijana ikitokea ajali badala ya kuokoa wahanga wao cha kwanza ni kuiba mali.....tuache unyama huo, tuwe binaadamu wenye huruma na uzalendo.

Majaliwa/Jasiri ni mfano wa kuigwa na kila kija
Nakupiga picha
 
Jamani si kapewa na kazi juu!! Mnataka afanywe nini mbona mnakurupuka. Angepewa milioni 50 mngesema kuna shida ya madarasa ila mnagawa ela ovyo.kikubwa waliopona wamtafute kwa nafasi zao wampe wanachowiwa
Hivi unajua ataanza na bei gani huko na mikopo juu na uhuru wake utakoma hapo
 
Back
Top Bottom