Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Unampa pole ya nini huyu mwana haramu😂ukome lakini pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unampa pole ya nini huyu mwana haramu😂ukome lakini pole
Kwanza mwanamke kujuwa choice yake ni ngumu hata akiwa mke wako, mambo ya samplaizi msaplazi na Nissan Duaris kama una ubavu hapo utamsaplaizi kweli.Ndio nimepata somo mkuu, ila mwanangu Tupa kaniponza..😞
😂😂😂 DaaahKuna sikio linahitaji kuzibuliwa kama yale mawili hayajakusikia baada ya kumpa maelezo View attachment 2984635
Sasa ua yeye la kazi gani?Siku Zote Nasema Mapenzi Hayana Formula, Haya Mkeo Anakataa Ua Bora Ungempelekea Madafu.
Umeyataka mwenyewe kwa sababu ya kuiga utamaduni usio wetu ndiyo maana ukasahau ua kwenye begi. Wenzako hulishika mkononi na wanapofunguliwa mlango wanampatia mhusika hapo hapo. Sisi wanawake huwa tunawapa zawadi ya nguo au fedha au vyote. Mwafrika na zawadi ya maua wapi na wapi. Hata binti kiziwi na uzungu wake wote ukimpelekea zawadi ya ua atakuvurumusha nalo!Namskia skia hata mimi jirani...😂
Ebu mtagi aje anipoze machungu...😋
Tulimfukuza uanachama baada ya kumpigia goti mchumba ili amvalishe peteMwalimu,
Nilidhani wewe ni katibu mwandamizi wa chama kubwa la Kataa Ndoa, Linda Kibunda Chako & Co.
Waulize ma-classmate wako. Sisi hatuna busara. 😁Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.
Nimemaliza
Pole sana classmate.Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.
Nimemaliza
Sekunde ya 36 mabeberu hao... Wakati video ina 11mins.😂😂😂 Daaah
Vijana wanataka kutoka wakati hamna kitu umeona
Hali ya hewa inashawishi.nami nionekane Jigga kwa Bionce
hivyo kofia yake ya uongozi kaivaa nani sahii..??Tulimfukuza uanachama baada ya kumpigia goti mchumba ili amvalishe pete