Zawadi imesababisha ugomvi na wife, leo nimenasa wakuu

Zawadi imesababisha ugomvi na wife, leo nimenasa wakuu

Kosa ni kuacha family mkoani alafu we uko bongo... ukiama hama na family.
 
Ndio nimepata somo mkuu, ila mwanangu Tupa kaniponza..😞
Kwanza mwanamke kujuwa choice yake ni ngumu hata akiwa mke wako, mambo ya samplaizi msaplazi na Nissan Duaris kama una ubavu hapo utamsaplaizi kweli.
 
Namskia skia hata mimi jirani...😂
Ebu mtagi aje anipoze machungu...😋
Umeyataka mwenyewe kwa sababu ya kuiga utamaduni usio wetu ndiyo maana ukasahau ua kwenye begi. Wenzako hulishika mkononi na wanapofunguliwa mlango wanampatia mhusika hapo hapo. Sisi wanawake huwa tunawapa zawadi ya nguo au fedha au vyote. Mwafrika na zawadi ya maua wapi na wapi. Hata binti kiziwi na uzungu wake wote ukimpelekea zawadi ya ua atakuvurumusha nalo!
 
Endelea kumpelekea zawadi siku nyingine mpelekee t shirt ya Real Madrid siku nyngn dozen ya pichu siku nyingine supuraiz ya kupiga miti Ile miuno ya mwanaukome
 
Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.

Nimemaliza
Waulize ma-classmate wako. Sisi hatuna busara. 😁
 
Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.

Nimemaliza
Pole sana classmate.
 
nami nionekane Jigga kwa Bionce
Hali ya hewa inashawishi.

giphy (1).gif


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Back
Top Bottom