Zawadi ya Bajaj ni halali kwa Ibrahim Class?

Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?

Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Kuna mambo ya kujiuliza:
  • hiyo bajaj ndio malipo au ni zawadi ya nyongeza?
  • makubaliano ya mkataba wa promota/waandaaji yakoje?
  • kabla ya udhamini huu, walikuwa wanapewa zawadi kubwa kuliko bajaj?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…