Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico, Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi?