Zawadi yangu ya Valentine kwa mwenyekiti wa kataa ndoaw

Zawadi yangu ya Valentine kwa mwenyekiti wa kataa ndoaw

kataa ndoa ni wahujumu mapenzi 🐒

ni maandalizi ya dependants wa uzeeni kwasbabu ya ubinafsi tu hawana wa kuwasaidia ni kutegemea huruma za watu 🐒

haiwezekani sukari ipo halafu kwa makusudi mtu anaificha, anaefaidi ni sabuni bafuni 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
pesa itasaidia

mimi naona bibi na babu hawauguzwi na watoto wao, watoto wao wanalipa watu wawauguze

halafu sio lazima mtu awe familia ndo akusaidie, family comes in many forms
 
Ujue mkuu sio kataa ndoa wote wanapiga nyeto ndo mana kuna nchi kama Denmark umalaya ni kazi halali kwa ajili ya watu kama hawa.Anaenda huko anapata safe sex anarudi nyumbani kwake.

Mimi naamini ndoa ni kitu kizuri ila kuna wanasayansi hapa duniani kama wasingekua kataa ndoa na watoto wasingegundua vitu vingi ambavyo vinatusaidia leo hii.
Kindeena
 
Hata kukaa bila ndoa kuna changamoto pia.
Sisi tuna
kataa ndoa ni wahujumu mapenzi 🐒

ni maandalizi ya dependants wa uzeeni kwasbabu ya ubinafsi tu hawana wa kuwasaidia ni kutegemea huruma za watu 🐒

haiwezekani sukari ipo halafu kwa makusudi mtu anaificha, anaefaidi ni sabuni bafuni 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Back
Top Bottom