Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Ni ajabu sana ni sawa na wale waislamu wakikupigia simu wanasalimia asalamu alekuuu kufikir wote ni waislamu na wanajua iyo salamu yaoNi bora wakaanisha maudhui kulingana na dini na imani za wananchi. TV ya umma unajaza maudhui ya dini moja tu haipendezi. Kama wanaupenda uislam ni bora waanzishe ZBC chaneli ya maudhui ya kikristo kama wanashindwa kubalansi vipindi vya dini katika TV hiyo