ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

Ni ajabu sana ni sawa na wale waislamu wakikupigia simu wanasalimia asalamu alekuuu kufikir wote ni waislamu na wanajua iyo salamu yao
 
Ndo mnavofundishwa na dini yenu ya haki kuwaita binadamu wenzenu Kafiri, ama kwel mna safar ndefu sana
 
Kuna mambo huwezi kuyabadilisha sasa sehemu 98% no waislamu unategemea nini? Waweke kwaya? Ule ni utamaduni wa watu wa zanzibar na lazima uheshimiwe, ramadhani inakuja utaratibu wetu ni ule ule bakora tu kwa makobe
 
Mkuu sisi kwetu dini kwanza mengine baadae. Allahu akhbar!
 
Inamilikiwa na "ISLAMIC REPUBLIC OF ZANZIBAR"
 
Hapo kwenye kuwaita watu makafiri ndio hua mnaonesha ni kiasi vichwa vyenu ni vitupu mnatumia vichwa kuhifadhi mate badala ya akili mazezeta kabisa ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ