Cha kushangaza. Teknolojia wanayotumia hapo ZBC ni ya makafiri 100%Dini mwanzo mwisho… yani hawana vipindi vingine zaidi ya vipindi vya dini au unamaanisha nn?
acha matusi we msodomaWe mse...ngerema hauna ustaarabu na dini za watu
Hapo kuwaita watu makafiri unajiona unaakili sana na dini yako ya maana sana kuliko zingineKuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Hapo kuwaita watu makafiri unajiona unaakili sana na dini yako ya maana sana kuliko zingineBasi hapo kafiri kidogo upasuke kwa hasira🤣🤣🤣
Ndiyo maana hamtaki kujenga Hospitali wala vyuo vikuu kwasababu wasomi wakikristo wamefanya nini?Hao wasomi wenu nyinyi wamewasaidia nini mpaka sasa mkuu. Kila kukicha mnalalamika maisha magumu, pesa hamna, ajira hamna, vifaa tiba na madawa hamna...mbona hatuoni positive impact yao yoyote zaidi ya kujinufaisha wao?..
Acha sisi tuendelee kumtafuta Mollah.
Tofautisha ZBC-2 na ZBC-1.Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Basi hapo kafiri kidogo upasuke kwa hasira
Sijawahi ona wakirusha mahubiri ya Gwajima ama mzee wa upakoAsilimia kubwa vipindi vyao ni vya dini
Ni mawaidhaSijawahi ona wakirusha mahubiri ya Gwajima ama mzee wa upako
huko umeenda mbali, warushe hata ibada za wakakatoliki na walutheri tu kama wanavyofanya TBCSijawahi ona wakirusha mahubiri ya Gwajima ama mzee wa upako
Nenda Vatcan nawewe kawambie waje waanzishe TelevisionNaomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Tatizo wanaesema nyie weziIla nasikia ata kwenye ajira ni ngumu sana mkristo kupata au mtu anaetokea musoma kupata ajira pale
Mbona zipo hapa tzNenda Vatcan nawewe kawambie waje waanzishe Television
Sawa ila wao?Tatizo wanaesema nyie wezi
Ndugu, serikali isiyo na dini ni ya Tanganyika, serikali ya Zanzibar ni ya dini.Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Serikali ya Zanzibar watu wake wote asilimia 99.9 ni waislamu sasa wakiweka vipindi vya Mwamposa atasikiliza/ataangalia nani?Tumia D angalau moja kutambua vitu vidogo vidogo kama hiviNaomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Kwahy wanao tazama iyo tv ni wanzanibar tu?Serikali ya Zanzibar watu wake wote asilimia 99.9 ni waislamu sasa wakiweka vipindi vya Mwamposa atasikiliza/ataangalia nani?Tumia D angalau moja kutambua vitu vidogo vidogo kama hivi
Duh mtianiNdugu, serikali isiyo na dini ni ya Tanganyika, serikali ya Zanzibar ni ya dini.
Ndiyo maana ni kosa la jinai kula hadharani wakati wa Ramadhani.