Jaribu ndio utajua, dont try to be a hero my friend na hakuna atakayekusaidia , huwezi kuweka utaratibu wako kwenye nchi ya watu, kuna mambo mengine muungano huu hauwezi kukuteteaNan wakunigusa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu ndio utajua, dont try to be a hero my friend na hakuna atakayekusaidia , huwezi kuweka utaratibu wako kwenye nchi ya watu, kuna mambo mengine muungano huu hauwezi kukuteteaNan wakunigusa?
ni kero kulazimisha mtu aheshimu mila zako wakati hakuletei madhara. Mtu anakula mchana we utapataje madhara? Huu mwezi wa pili kuna dini wamefunga siku 40 na wengine wamefunga siku 30 mbali na wale wa kwaresma ambao bado hawajaanza funga yao, hakuna mtu anayebughudhiwa kwa kula mchana kwa kuwa wengine wamefungaNatania bwana kupigana siyo sawa ingawa unatakiwa ukienda sehemu uheshimu mila na tamaduni zao
ni kweli ila zanzibara wana mila na tamaduni zao na ni nchi ile tusisahau kisa tu muungano, ukila kwa staha ni sawa ila siyo makusudi hadharani ili kuwakejeli watu na mila zao, watalii wenyewe wakija wanafahamu maswala ya utamuduni sembuse sisi wabongoni kero kulazimisha mtu aheshimu mila zako wakati hakuletei madhara. Mtu anakula mchana we utapatae madhara? Huu mwezi wa pili kuna dini wamefunga siku 40 na wengine wamefunga siku 30 mbali na wale wa kwaresma ambao bado hawajaanza funga yao, hakuna mtu anayebughudhiwa kwa kula mchana kwa kuwa wengine wamefunga
Nenda katoe hayo maudhui basikama zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania haifai ZBC kujaza maudhui ya kiislam kwa wingi katika vipindi vyake wakati ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya kiislam
Alafu baada ya hapo wana anza kulalamika serikali inawapendelea Wakristomzazi mwingine ana mentality watoto wake kuwa masheikh
seems hujawahi kwenda zanzibar so ni vigumu kukuelewesha and after all kitu wasichokijua wengi muungano baina ya bara na visiwani ni katika baadhi tu ya vipengele vichache ndio maana zanzibar ina bunge, serikali na mahakama ambayo ipo kwa maslahi ya wazanzibari.Navyojua nchi ni Tanzania zanzibar ni sehemu ya Tz mbona wana uraia wa Tanzania?
Ndio maana ata wasomi kwenu wachache
Eeeeti nyie wakristo,Ndio maana ata wasomi kwenu wachache
😅😅😅😅😅😅 Ila nyie watu mnachekeshaTV ya munyazi munguuuu hiyo
Basi hapo kafiri kidogo upasuke kwa hasira🤣🤣🤣lile gazeti lao, mara rais alikuwa msikitini, mara kakutana kadhi, mara na mufti, mara kakutana na imaam wa msikiti fulani, gazeti la serikali front page linajaa uislam utadhani zanzibar ni nchi ya kiislam
ZBC ni mali ya Islamuc State of Zanzibar(ISZ); hakuna shida yoyote mkuu. Waache waendelee na mambo yao mkuu.Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Acha upuuzi wa kuita Watanzania wenzako makafiri kwa sababu tu ya kutokuwa wafuasi wa dini iliyoletwa kwa majahazi na mitumbwi.Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
ni ya azamNaomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
We mse...ngerema hauna ustaarabu na dini za watuKuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Basi hapo kafiri kidogo upasuke kwa hasira