Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #121
Una uwakika?Mbona waislamu hawalazimishi hata kwenda Vatican , vatican hakuna muislamu hata mmoja 😀 😀lawe huwezi kukutana tukilalamika ...Kila sehemu na sheria zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uwakika?Mbona waislamu hawalazimishi hata kwenda Vatican , vatican hakuna muislamu hata mmoja 😀 😀lawe huwezi kukutana tukilalamika ...Kila sehemu na sheria zake.
Tv ina maudhui huyapendi kuna haja gani ya kuangalia , mimi siangalii Tv yenye miziki kama Trace japo ipo.Kwahy wanao tazama iyo tv ni wanzanibar tu?
Uhakika , yaani nan aende vatican ? Hakuna muislamu hata mmoja wala wenye shobo .Una uwakika?
vipi huko musoma na sie kazi tunapata??Ila nasikia ata kwenye ajira ni ngumu sana mkristo kupata au mtu anaetokea musoma kupata ajira pale
Ahahahha hapana kwakweliTv ina maudhui huyapendi kuna haja gani ya kuangalia , mimi siangalii Tv yenye miziki kama Trace japo ipo.
Yaani uache kufuatilia mambo ya maana kwa mtazamo wako ufuatilie ZBC ?
Mnapata vizuri nenda manispaa mmejaa televipi huko musoma na sie kazi tunapata??
Matusi ya nini sasaTafuta channel nyingine babaaa haujalazimishwa, ng'onda weweee
Mimi naangalia mpira na channel ya wanyama , hizi BBC, aljazeera na news zote pamoja na mzikia siwezi kupoteza muda kuangalia propaganda za wazungu.Ahahahha hapana kwakweli
Kwanini Azam wanatumia jina la ZBC 2 badalla ya kujiita Azam 9 au 8? wamepanga kutakatisha nini?Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Mkichukua nchi anzeni na hiloKwanini Azam wanatumia jina la ZBC 2 badalla ya kujiita Azam 9 au 8? wamepanga kutakatisha nini?
Utaki kupoteza mdaMimi naangalia mpira na channel ya wanyama , hizi BBC, aljazeera na news zote pamoja na mzikia siwezi kupoteza muda kuangalia propaganda za wazungu.
Ndiyo hivyo mkuu, Zanzibar ni serikali ya kidini.Duh mtiani
sasa unaumia nini hapo??, tafuta hela wewee achana na mambo ya kidwanziNdiyo hivyo mkuu, Zanzibar ni serikali ya kidini.
Akiwa kwenye Kigango.... Hahahahaunateseka ukiwa wapi?
Sharti la kwanza la ajira uwe na kitambulisho cha mkazi ... Wewe wa musoma kukipata sio RahisiIla nasikia ata kwenye ajira ni ngumu sana mkristo kupata au mtu anaetokea musoma kupata ajira pale
Kumbe ni mawaidha ya kiislam!Ni mawaidha
Nimeumia kivipi?sasa unaumia nini hapo??, tafuta hela wewee achana na mambo ya kidwanzi