ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

Kwahy wanao tazama iyo tv ni wanzanibar tu?
Tv ina maudhui huyapendi kuna haja gani ya kuangalia , mimi siangalii Tv yenye miziki kama Trace japo ipo.

Yaani uache kufuatilia mambo ya maana kwa mtazamo wako ufuatilie ZBC ?
 
Tv ina maudhui huyapendi kuna haja gani ya kuangalia , mimi siangalii Tv yenye miziki kama Trace japo ipo.

Yaani uache kufuatilia mambo ya maana kwa mtazamo wako ufuatilie ZBC ?
Ahahahha hapana kwakweli
 
Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Kwanini Azam wanatumia jina la ZBC 2 badalla ya kujiita Azam 9 au 8? wamepanga kutakatisha nini?
 
Ila nasikia ata kwenye ajira ni ngumu sana mkristo kupata au mtu anaetokea musoma kupata ajira pale
Sharti la kwanza la ajira uwe na kitambulisho cha mkazi ... Wewe wa musoma kukipata sio Rahisi
 
WAUMINI WENGI WA KIISLAM NI MAJUHA!

ZANZIBAR NI KISIWA KILICHOJAA MAJUHA KULIKO SEHEMU YEYOTE DUNIANI!
 
Back
Top Bottom