ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?

Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali

Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo

View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1890086680536969408
 
Hivi ccm ni uvccm kwa ajili ya watu hawa au
IMG_0612.jpeg
 
Ndio maana ata wasomi

Ndio maana ata wasomi kwenu wachache
Idadi ya watu Tanzania Bara ni ngapi na wasomi idadi yao ni wangapi?
Idadi ya watu Tanzania Visiwani ni ngapi na wasomi idadi yao ni wangapi? Me nahisi kwa asilimia km itakuwa inalingana tu kutokana na idadi ya watu au weee unaona vp?
Au wananchi wote wa Tanzania Bara ni wasomi?
Lkn yote 9 hao wasomi wa huko Bara wana mchango gani katika jamii? Hapa naomna uangalie kwa jicho la upeo sn. Jee wasomi wa huko bara wana mchango gani kwa jamii kutokana na usomi wao? Jee kwa umri wako ukiangalia ulipotoka mpk sasa unaona Tanzania bara chini ya wasomi na wabobezi inapaa au inadidimia?
 
Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?

Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali

Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Zanzibar ni nchi ya kiisilamu na serikali yake ni ya kiisilamu hivyo ZBC ambayo ni ya serikali inatekeleza mfumo wa nchi yao.
 
Zanzibar kila mita mia kuna msikitini, inategemea kwa mazingira hayo mjadala utakuwa nini?
 
Cha kushangaza vijana wa hiyo dini ya hovyo ndo wanawapiga miti madada zako na mabinti zako huko mitaani na inawezekana hata ww ni mtoto wa mfuasi wa hiyo dini ya hovyo sema bibi mkubwa wako alimbambikia mimba huyo unaye muita baba yako.
Acha kupiga kelele kwenye forum za makafiri. Hiyo dini yenu ya ovyo mnayojitambia hajatokea hata mmoja wenu mvaa kanzu mwenye akili akatengeneza forum yoyote bongo
 
Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Kaka siyo vizuri kuita Dini isiyokua ya kwako Kafri. Wewe unaejihesabia kwamba Dini yako ni Bora kuliko ya mwezako ndio Kafri.

Mtume Mwenyewe Aliheshimu watu wasio waimani yake wewe ni zaidi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu?

Nyinyi ndio wajinga wasioijua Dini ya Uislam na Matokeo yake wanaichafua mbele za watu kwamba ni Dini ya kibaguzi na kigaidi.
 
Back
Top Bottom