huyo mwandishi angemuuliza Komba kama anajua anagalau basic na abc's za literature na kazi zake,wananchofanya ze comedy ni sawa sawa na anachofanya masudi kipanya,the onlt difeerence is their means/medium of communications,wakati masudi kipanya anatumia carricature wao ze comedy is simply comedy but alla different forms of literature...mwabieni shule angalau hata form four tu
Wana JF
Kweli ni vyema Ze Comedy ktania sura za watu hasa viongozi wa juu?
Naomba maoni.
Wana JF
Kweli ni vyema Ze Comedy ktania sura za watu hasa viongozi wa juu?
Naomba maoni.