Zebra cake

Zebra cake

farkhina kuja hii hapa ImageUploadedByJamiiForums1386525967.145666.jpg
 
Last edited by a moderator:
farkhina hii cake hadi nimeiota leo usiki eti naipika.........

nahitaji ufafanuzi kidogo kuna mambo sijaelewa
 
Last edited by a moderator:
farkhina ahsante!
sijaona mafuta yale umetumia wapi shosti!
halafu umenipa idea ya kutokupika keki bila blue band!
maana mamangu alikuwa mkaaaali na kuivisha sukari kwa blue band!ole wako ubadili uelekeo wa mkono!
 
Yummy yummy. Khaaa me naomba uwe unanipa tuition ya vitendo kabisa hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kesho ngoja nijaribu kumpikia binti yangu maana nadaiwa keki mpaka nachanganyikiwa hapa
thanks farkhina
 
Last edited by a moderator:
farkhina ahsante!
sijaona mafuta yale umetumia wapi shosti!
halafu umenipa idea ya kutokupika keki bila blue band!
maana mamangu alikuwa mkaaaali na kuivisha sukari kwa blue band!ole wako ubadili uelekeo wa mkono!

Mimi pia nimefurahi nimepata idea mpya ya kutokutumia blue band,asante farkhina
 
Last edited by a moderator:
my yf wangu njoo huku umsikize farkhina
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom