Zanzibar 2020 ZEC yawaengua wagombea wengi wa ACT-Wazalendo. Je ACT-Wazalendo itashiriki Uchaguzi?

Kwanini sisi hatupigani na askari tunawafuata nyinyi ccm mitaani situnawajua munapoishi majimbani kwenu tunaanza na nyinyikwanza

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 

Amani iwe kwenu sisi mtuadhibu na kutuchukulia haki zetu ?? Tutakula sahani moja mara hii, Tumeshachoka , hapa ni jino kwa jino , Tumechoka kunya povu , yaani nyinyi mle vizuri mnye mavi ?
 
Walikufa na wengine walikimbilia shimoni Kenya safari hii hakuna atakayeweza kukimbilia shimoni watashughulikiwa hapa hapa tu!!
Safi sana ila usisahau kuna askari walikatwa vichwa na wengine walishazungukwa kwa hekima za wazee wakaachiwa lakini safari hii hakutakuwa na huruma. Mzee atakaezingua ataanzwa yeye.
 
Safi sana ila usisahau kuna askari walikatwa vichwa na wengine walishazungukwa kwa hekima za wazee wakaachiwa lakini safari hii hakutakuwa na huruma. Mzee atakaezingua ataanzwa yeye.
Haya ngoja tusubiri tarehe 28/10/2020 siyo mbali zimebaki siku 37 tu mkuu!!
 
Kunaweza kuleta mtafaruko ni bora NEC ifumbe macho kabisa.Waruhusu wagombea wote,kura ndio kipimo sahihi bara na visiwani.
Jiwe anataka kupita njia ileile aliyopita Mkapa ya machafuko hadi wapemba wengi kukimbilia shimoni mombasa,hizi figisu za nini,unatumia vyombo vya dola kubebwa unawaibia kura nayo haitoshi unawaengua,huko ni kukosa kujiamini na ccm inajua haipendwi si bara wala visiwani.
 
NEC na ZEC ni tume za uchafuzi.
 
Hayo kawaambie hao ndugu
Ingefaa uwaambie haya ndugu zako wa tume, maana hawa ndo chanzo cha kuvuruga amani
 
Swali fikirishi, endanda mgombea Urais toka ACT wazalendo akashinda Je anaweza amuru uchaguzi wa madiwani na wabunge urudiwe kwasababu ya dosari nyingi zilizojitokeza
 
Lengo la wananchi kuwachagua viongozi ni ili wawaongoze, ikiwemo kujali haki za watoto, kina mama na wazee. Lakini viongozi wanapo wasaliti wananchi na kuwadhulumu haki zao, hilo linakuwa sio lengo la wao kuwekwa madarakani. Ndio hapo wananchi wanapo wajibika kudai haki yao. Na kwa kuwa yeyote mwenye kudhulumu ameonesha nia hovu, hivyo ni lazima kwenye kudai haki kutakuwa na gharama. Hivyo ni jukumu la mamlaka kufikiria kuhusu watoto, kina mama na wazee juu ya dhulma wanayoifanya.
 
Juma Duni Haji si ndio yule (babu Duni) aliyegombea katika nafasi ya umakamo wa raisi wa JMT 2015? Ama ni mwingine? Kama ndio yeye ilikuwaje aweze kujaza fomu za umakamo halafu ashindwe kujaza za uwakilishi? Hili haliingii hata kwenye akili ya kuku licha ya binadamu. Katika hili sidhani kama ZEC wamefikiria mara 2 juu ya maamuzi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…