Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Hiyo inaonyesha upinzani ni mapoyoyo tu hata form wnashindwa kuwa makini kujaza wakati uchaguzi wa selikari za mitaa umeisha juzi tu?Kunaweza kuleta mtafaruko ni bora NEC ifumbe macho kabisa.Waruhusu wagombea wote,kura ndio kipimo sahihi bara na visiwani.