Zanzibar 2020 ZEC yawaengua wagombea wengi wa ACT-Wazalendo. Je ACT-Wazalendo itashiriki Uchaguzi?

Zanzibar 2020 ZEC yawaengua wagombea wengi wa ACT-Wazalendo. Je ACT-Wazalendo itashiriki Uchaguzi?

naam kumekucha tume ya zanzibar ya uchaguzi imetangaza haya yafuatayo:-

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha ACT-Wazalendo, CCM mmoja (1), CUF mmoja (1), UPDP mmoja (1) na Demokrasia Makini mmoja (1), waliokuwa wakigombea nafasi za Uwakilishi Zanzibar.
Sababu za kuondolewa ni kushindwa kufuata kanuni za uchaguzi katika kujaza fomu za uteuzi.
ACT-Wazalendo ni:-
1. Haji Ali Haji (Tumbatu).
2. Hassan Jani Masoud (Nungwi).
3. Haji Mwadini Makame (Kijini).
4. Juma Duni Haji (Mtoni).
5. Hasne Abdallah Abeid (Bububu).
6. Hamad Masoud Hamad (Ole).
7. Omar Ali Shehe (Chake Chake).
8. Khamis Rashid Khamis (Chonga).
9. Issa Said Juma (Micheweni/Konde).
10. Mmanga Mohammed Hemed (Konde/Tumbe).
11. Is-haka Ismail Shariff (Wete).
CUF ni:-
1. Juma Ali Juma (Ole).
Demokrasia Makini ni:-
1. Abbas Omar Abbas (Ole).
UPDP ni:-
1. Yussuf Said Hamad (Chake Chake).
CCM ni :-
1. Othman Ali Khamis (Mtambwe).
chanzo ni mwndishi Ally Mohammed kutoka zanzibar
Hadi ccm ?
 
IMG_20200918_024450.jpg
IMG_20200918_024635.jpg
IMG_20200918_024427.jpg
IMG_20200918_021213.jpg
 
Wamefuata ushauri wa Membe waweke mmoja wa kudanganya! Zanzibar hakuna tena uchaguzi! Ova!
Membe hana nafasi kwa CCM na serikali zake mbili (Bara & Visiwani)…zaidi anakula majuto now yakukimbia chama
 
naam kumekucha tume ya zanzibar ya uchaguzi imetangaza haya yafuatayo:-

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha ACT-Wazalendo, CCM mmoja (1), CUF mmoja (1), UPDP mmoja (1) na Demokrasia Makini mmoja (1), waliokuwa wakigombea nafasi za Uwakilishi Zanzibar.
Sababu za kuondolewa ni kushindwa kufuata kanuni za uchaguzi katika kujaza fomu za uteuzi.
ACT-Wazalendo ni:-
1. Haji Ali Haji (Tumbatu).
2. Hassan Jani Masoud (Nungwi).
3. Haji Mwadini Makame (Kijini).
4. Juma Duni Haji (Mtoni).
5. Hasne Abdallah Abeid (Bububu).
6. Hamad Masoud Hamad (Ole).
7. Omar Ali Shehe (Chake Chake).
8. Khamis Rashid Khamis (Chonga).
9. Issa Said Juma (Micheweni/Konde).
10. Mmanga Mohammed Hemed (Konde/Tumbe).
11. Is-haka Ismail Shariff (Wete).
CUF ni:-
1. Juma Ali Juma (Ole).
Demokrasia Makini ni:-
1. Abbas Omar Abbas (Ole).
UPDP ni:-
1. Yussuf Said Hamad (Chake Chake).
CCM ni :-
1. Othman Ali Khamis (Mtambwe).
chanzo ni mwndishi Ally Mohammed kutoka zanzibar

Hivi hizo fomu zina mambo gani ya siri au kiufundi amayo ni wana ccm tu ndo wanauwezo wa kuzijaza vizuri? Eti hapa wamemuengua mmoja ili ionekane hawana upendeleo.
Ukiangalia utaona chama chenye upinzani mkuba znz ni ACT, na ukiangaliawalioenguliwa, wengi ni ACT.
 
Z
naam kumekucha tume ya zanzibar ya uchaguzi imetangaza haya yafuatayo:-

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha ACT-Wazalendo, CCM mmoja (1), CUF mmoja (1), UPDP mmoja (1) na Demokrasia Makini mmoja (1), waliokuwa wakigombea nafasi za Uwakilishi Zanzibar.
Sababu za kuondolewa ni kushindwa kufuata kanuni za uchaguzi katika kujaza fomu za uteuzi.
ACT-Wazalendo ni:-
1. Haji Ali Haji (Tumbatu).
2. Hassan Jani Masoud (Nungwi).
3. Haji Mwadini Makame (Kijini).
4. Juma Duni Haji (Mtoni).
5. Hasne Abdallah Abeid (Bububu).
6. Hamad Masoud Hamad (Ole).
7. Omar Ali Shehe (Chake Chake).
8. Khamis Rashid Khamis (Chonga).
9. Issa Said Juma (Micheweni/Konde).
10. Mmanga Mohammed Hemed (Konde/Tumbe).
11. Is-haka Ismail Shariff (Wete).
CUF ni:-
1. Juma Ali Juma (Ole).
Demokrasia Makini ni:-
1. Abbas Omar Abbas (Ole).
UPDP ni:-
1. Yussuf Said Hamad (Chake Chake).
CCM ni :-
1. Othman Ali Khamis (Mtambwe).
chanzo ni mwndishi Ally Mohammed kutoka zanzibar
Ahaaa !!! ZEC mpo makini Sana ! Hao wote kwanini wanakosa umakini kwenye ujazaji wa Fomu !? Hao wote naamini wengi Wao Ni Wasomi ! Navisihi Sana , Sana Vyama vyote vilivyokuwa vimesimamisha Wawakilishi hawa , vikaiangukie Tume ya Uchaguzi Zanzibar ( ZEC ) immediately !
 
naam kumekucha tume ya zanzibar ya uchaguzi imetangaza haya yafuatayo:-

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha ACT-Wazalendo, CCM mmoja (1), CUF mmoja (1), UPDP mmoja (1) na Demokrasia Makini mmoja (1), waliokuwa wakigombea nafasi za Uwakilishi Zanzibar.
Sababu za kuondolewa ni kushindwa kufuata kanuni za uchaguzi katika kujaza fomu za uteuzi.
ACT-Wazalendo ni:-
1. Haji Ali Haji (Tumbatu).
2. Hassan Jani Masoud (Nungwi).
3. Haji Mwadini Makame (Kijini).
4. Juma Duni Haji (Mtoni).
5. Hasne Abdallah Abeid (Bububu).
6. Hamad Masoud Hamad (Ole).
7. Omar Ali Shehe (Chake Chake).
8. Khamis Rashid Khamis (Chonga).
9. Issa Said Juma (Micheweni/Konde).
10. Mmanga Mohammed Hemed (Konde/Tumbe).
11. Is-haka Ismail Shariff (Wete).
CUF ni:-
1. Juma Ali Juma (Ole).
Demokrasia Makini ni:-
1. Abbas Omar Abbas (Ole).
UPDP ni:-
1. Yussuf Said Hamad (Chake Chake).
CCM ni :-
1. Othman Ali Khamis (Mtambwe).
chanzo ni mwndishi Ally Mohammed kutoka zanzibar
ZEK inasimamia sheria taratibu na kanuni, uwe ACT, CUF au CCM ukikosea unaenguliwa tu!
 
Kuna siku nilishangaa sana.Niliona mahali orodha ya kazi kumi ngumu duniani ila sikuona kazi ya siasa kwenye hiyo list!
 
Maalim Seif na Zito tunaomba mtangaze maandamano tupo tayari vijana narudia tupo tayari. Hawa hawatuwezi tutakufa mia lakini na wao tutawapata japo 80 halafu kitaeleweka tu. TUTANGAZIENI MAANDANO YAWE YA AMANI AU YA FUJO TUPO TAYARI.
 
Back
Top Bottom