Zelensky aapa Ukraine kuishinda Urusi

Hata akiondoa majeshi yake bado Ukraine itaitaka Urusi iwajibike kwa uhalifu wa kivita uliotendeka na uharibifu wa nchi na uchumi wa Ukraine.
Swali hapa gumu kulijibu. Nani atawajibisha Putin? Marekani mwenyewe ubavu hana.
 
we nae kwa hiyo wewe ndio unajua sana kuliko urusi yaani urusi ilio anzisha vita haikujua kuwa nato na marekni watapeleka silaha ukraine ila wew unae jua roho inataka kukupasuka huku mwanalu mango........
 
Huyu mwamba nimemkubali.Humaanisha kile anachokisema!
 
So you believe this lies,eh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…