Zelensky aapa Ukraine kuishinda Urusi

Zelensky aapa Ukraine kuishinda Urusi

daa!!! ndo nyie westans mnamini mwanaume anaweza kugeuka kuwa mwanamke....
PUTIN ni mthenge kabisa . Aacha mwigizaji ampumulie hapo kisogoni
Screenshot_2023-02-23-08-03-04-634_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-02-23-12-54-37-538_com.miui.gallery.jpg
 
NATO Na USA wamemnangania PUTIN kwenye Pumbu kwa hiyo PUTIN anaogopa kupiga kwenye Pumbu lake anajua maumivu ya kugonga Pumbu lake .
 
Mwanzo Putin alimchukulia kama muigizaji sasa mwaka umetimia, Putin anajuta sana huyu jamaa ni madhubuti sana kuwahi kutokea, Zelensky ndio atakuwa Rais wa taifa la Russia muda utafika tu
Imara kwa kuomba misaada
 
Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine ameapa kwamba mwaka huu wa 2023 utakuwa mwaka wa ushindi dhidi ya uvamizi wa Urusi, huku Muungano wa Kijeshi wa NATO ukisema dhamira yake ya kuiunga mkono Ukraine iko imara.

Rais Zelensky ametumia hotuba yake ya kukumbuka mwaka mmoja wa uvamizi wa Urusi dhidi ya nchi yake kunadi ujasiri na dhamira ya jeshi la Ukraine kutetea mipaka ya nchi hiyo.

"Siku kama hii mwaka mmoja uliopita kutoka mahala hapa hapa majira ya saa moja asubuhi, niliwahutubia kwa maelezo mafupi. Ilikuwa ya sekunde 67 tu. Ilikuwa na mambo mawili muhimu kabisa kwa wakati huo na sasa.

Kwamba Urusi ilianzisha vita dhidi yetu. Na sisi ni madhubuti. Tuko tayari kwa lolote. Tutamshinda kila mtu, kwa sababu sisi ni Ukraine. Hivyo ndivyo ilivyoanza tarehe 24 Februari 2022. Siku refu kabisa maishani mwetu.

Siku ngumu kabisa kwenye historia yetu. Tuliamka mapema na tangu hapo hatujalala tena." Alisema rais huyo.

Akiwa na uso wa huzuni kutokana na mwaka mmoja wa damu, vifo, wakimbizi, na uharibifu mkubwa wa majengo na miundombinu kutokana na mashambulizi ya Urusi, Zelensky aliwaambia raia wa nchi yake kwamba ushindi wa nchi yao kwenye vita hivi, ni jambo la lazima, licha ya kulemewa vibaya na makombora ya adui.
Cha kuazima hakisitiri matakwa
 
Jamaa mwehu sana, anaapa kushinda vita kwa silaha za kuombaomba. Hao wanaompa mda si mrefu watamkimbia atabaki marekani pekeyake

 
Kwani hukuwai kusikia kuna meri ya iran imekamatwa ikiwa na shehena ya silaha ikipekeka Yemen na hao NATO wakaamua kuzipeleka Ukraine??
 
Kwani hukuwai kusikia kuna meri ya iran imekamatwa ikiwa na shehena ya silaha ikipekeka Yemen na hao NATO wakaamua kuzipeleka Ukraine??

Ulimwengu huu umejaa unafiki. Pesa imeekwa mbele . Hawa West wana viwanda vyao huko Iran hasa wafaransa na Waswedish
 
Zelensky ni muigizaji tu hana chochote anachokifanya zaidi ya hicho!

Mwanzoni alijificha kabisa kwenye mahandaki na za kusadikika nyengine alikimbilia mafichoni Poland. Sababu kuu alihofu na kuogopa kuwa Russia itamuua. Ikulu ya Ukraine alijazwa mpaka ndani viroba vya mchanga!

Baada ya Waziri Mkuu wa Israel kuwa kama kiunganishi kuzungumza na Urusi na Putin kumhakikishia Waziri Mkuu wa Israel kuwa Russia haina haja ya kumuua Zelensky; huyu rais wa Ukraine baada ya kuthibitishiwa hilo na Waziri Mkuu wa Israel akatoka mafichoni na kuanza kuropoka ropoka hovyo!

Na waziri Mkuu wa Israel alimshangaa punde tu baada ya kumhakikishia taarifa aliyompatia anamuona Zelensky yupo mbele ya vyombo vya habari na kudai hatokimbia, haiogopi Russia na atafia kwenye ardhi yake.

Maigizo mengine mara US imetoa ndege ya kumsafirisha ili akimbie nchi yake asijekuuliwa akagoma na kudai kuionyesha dunia yupo tayari kufa!

Hakuna chochote anachokifanya Bw. Zelensky zaidi ya uigizaji.
 
Duh! Us uwa Wana kauli tata sana[emoji16][emoji28]

[emoji298]️The war will end in some kind of negotiation, and the starting point will be the withdrawal of Russian troops from Ukraine, US Defense Secretary Lloyd Austin said.[emoji298]
1677317481512.jpg
 
Yawezekana Putin aliaminishwa na watu wake kuwa tuvamie, mapinduzi yatatokea, wanajeshi watamtoa Zele.... Leo nimesoma sehemu wanasema viongozi wengi waliachiwa baada ya Mwezi 1
Moyo wa mwanajeshi unaweza ukawa ni cold na akili ikawa ni hot.

Kwenye ulimwengu wa ujasusi akili inatakiwa iwe cold na moyo uwe cold. Ukichanganya mambo umekwenda na maji.

Kuna mambo mengine yanahitaji wabobezi husika na mambo mengine yanahitaji mawazo ya wote. Mimi na wewe tusijipe umuhimu kwenye mambo yanayohitaji wenye ubobezi wao husika. Ulichoandika hapo ni mawazo tu ambayo bado mwisho wa siku yanazalisha maswali mengi kuliko majibu.

Haya masuala ukiyapa taswira yako usitarajie utayaona kwa taswira nyengine. Huwezi ukamuwaza Angel halafu ikakujia taswira ya Anitha.

Pengine una ugeni wa historia na haya mambo kwako unayaona kwa picha yako! Historia inaonyesha kuwa atakapovamia US kama Russia ana maslahi napo atatia timu. Na atakapovamia Russia kama US napo ana maslahi napo atatia timu. Mwenye nguvu zaidi ndiye atakayempisha mwenzake.

Na wanafahamu migogoro yao huwa inatumia muda mrefu.

Kingine ufahamu Russia inakubalika mashariki mwa Ukraine ndiyo ambao hao walikuwa wanapambana na serikali ya Ukraine. Sasa kivipi wajipe umuhimu kwa sehemu nyengine ya Ukraine kuwa kwa pamoja watapindua serikali yao?
 
Back
Top Bottom