Trump ni mpuuzi sanaTrump anatafuta sababu ili akate msaada kwa Ukraine.
Itakuwa sehemu ya Urusi na Marekani, Putin na Trump wanaigawana.Zele ashikilie hapo hapo, ikiwezekana akamuombe msamaha kaka yake Putin, wale ni ndugu hawawezi shindwana, damu nzito, amwambie USA alimdanganya ili akwapue madini yake. Kwangu mimi naona Bora Ukraine iwe sehemu ya Urusi kuliko anachokitaka Trump.
wameshindwa Warusi kwa miaka 3 ndo Trump aweze?Kuna mlio bado hajatoa Zelensky kwa spana anazopigwa na Trump.
Ila sioni kama atakuwa madarakani in next three months.
Putin akatae NATO amkubali USA? Anajua Trump ana 4 years tu madarakani, hakuna maslahi ya kudumu.Itakuwa sehemu ya Urusi na Marekani, Putin na Trump wanaigawana.
Trump ni dikteta kama Putin, ataongeza muda wa kutawala.Putin akatae NATO amkubali USA? Anajua Trump ana 4 years tu madarakani, hakuna maslahi ya kudumu.
Hahaha, duh. Ok mkuu.Trump ni dikteta kama Putin, ataongeza muda wa kutawala.
Elon Musk alisema mpeleke maelezo ya kina ya jinsi zitakavyomaliza, atawapa. Mkaingia mitini.Vita mbaya sana. Dola bilioni moja zinaweza maliza kabisa kabisa njaa duniani.
Mpuuzi kwakua anatetea nchi yake isipeleke silaha kumwaga ndani ya black hole sio?Trump ni mpuuzi sana
Si unakumbuka alijaribu kukatalia madarakani akatuma wahuni kuvamia congress?Hahaha, duh. Ok mkuu.
Ila kwa USA kuongeza muda sidhani. Pagumu pale.Si unakumbuka alijaribu kukatalia madarakani akatuma wahuni kuvamia congress?
Turamp ni mtu mpuuzi.
Raisi ana mamlaka makubwa.Ila kwa USA kuongeza muda sidhani. Pagumu pale.