Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Wanaukimbi.

Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo.

"Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani.

Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni."
===============
JUST IN: Zelensky says that he received only $100 billion in U.S. aid as grant, not a loan.

"We don't recognize Ukraine's $500 billion debt to the US.

I don't even recognize $100 billion. We agreed with Biden that it was a grant, not a debt.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1893694220742832307?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

VERY TRUE!
 
Wanaukimbi.

Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo.

"Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani.

Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni."
===============
JUST IN: Zelensky says that he received only $100 billion in U.S. aid as grant, not a loan.

"We don't recognize Ukraine's $500 billion debt to the US.

I don't even recognize $100 billion. We agreed with Biden that it was a grant, not a debt.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1893694220742832307?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Yeye alifikiri urais ni sawa michezo ya kuchekesha/kuigiza aliyokuwa anacheza
 
Zele ashikilie hapo hapo, ikiwezekana akamuombe msamaha kaka yake Putin, wale ni ndugu hawawezi shindwana, damu nzito, amwambie USA alimdanganya ili akwapue madini yake. Kwangu mimi naona Bora Ukraine iwe sehemu ya Urusi kuliko anachokitaka Trump.
Ashikiliee wakati silaha anakopeshwa😂😂😂. Trump akimnyima silaha atapigana na manatí? Elon Musk akibeba vifaa vyake vya Star Link atatumia ungo wa Azam TV?
 
jamaa kadata Anazani ye niwa muhimu sana kwa Russia ,yan Russia anzisha Vita ili msi join NATO afu unakkuja kusema ujiuzulu wewe afu mjiunge NATO ,Uyu ni comedian kwel
Anafikiri ni zile komedi alizokuwa anacheza. Hivi sijui Ukraine 🇺🇦 walianzaje kumpa nchi muigizaji!!!?
 
Zele ashikilie hapo hapo, ikiwezekana akamuombe msamaha kaka yake Putin, wale ni ndugu hawawezi shindwana, damu nzito, amwambie USA alimdanganya ili akwapue madini yake. Kwangu mimi naona Bora Ukraine iwe sehemu ya Urusi kuliko anachokitaka Trump.
Labda Zelenskyy awe na hulka ya kitumwa kama walivyo Waafrika wengi na viongozi wao.

Tayari ameshakataa dili la Trump la kitapeli la madini na ametangaza yuko tayari kujiuzulu kama hatua hiyo itahakikisha usalama wa Ukraine.

Zelenskyy amekuwa na mzozo na Trump tangu 2017, Trump alipoanza kuzuia misaada ya Marekani iliyoidhinishwa kwa Ukraine akitaka kwanza afanyiwe masuala binafsi ndipo aachilie hiyo misaada. Zelenskyy alimwekea ngumu.

Hivyo kwa Trump huu ni mgogoro binafsi. Bila shaka itabidi Zelenskyy aachie madaraka ingawa sidhani kama itasaidia sana. Lengo halisi la Putin ni kuiunganisha Ukraine yote na Urusi. Safari hii ana mshirika muhimu sana: Trump (POTUS).
 
Ashikiliee wakati silaha anakopeshwa😂😂😂. Trump akimnyima silaha atapigana na manatí? Elon Musk akibeba vifaa vyake vya Star Link atatumia ungo wa Azam TV?
Arudi kwa kaka yake Putin ambembeleze.
 
Labda Zelenskyy awe na hulka ya kitumwa kama walivyo Waafrika wengi na viongozi wao.

Tayari ameshakataa dili la Trump la kitapeli la madini na ametangaza yuko tayari kujiuzulu kama hatua hiyo itahakikisha usalama wa Ukraine.

Zelenskyy amekuwa na mzozo na Trump tangu 2017, Trump alipoanza kuzuia misaada ya Marekani iliyoidhinishwa kwa Ukraine akitaka kwanza afanyiwe masuala binafsi ndipo aachilie hiyo misaada. Zelenskyy alimwekea ngumu.

Hivyo kwa Trump huu ni mgogoro binafsi. Bila shaka itabidi Zelenskyy aachie madaraka ingawa sidhani kama itasaidia sana. Lengo halisi la Putin ni kuiunganisha Ukraine yote na Urusi. Safari hii ana mshirika muhimu sana: Trump (POTUS).
Kuliko amkubalie Trump hilo pendekezo lake la kujisombea madini bora ampe Urusi nchi iitwe Urusi maana angalau hapo rasilimali bado zitawafaidisha raia wake.
 
Kati ya watu wapuuzi na wa ovyo ni zelensky, kauwa vijana wake weengi kwenye vita aliyojua hashindi,ss anajinyea na upuuzi wake!
"There is no free lunch"
Kaingiza taifa hasara ya uhai wa watu na mali zinafata,takatak!
 
Zele hata aachie madaraka haitasaidia kitu lazima madini yachimbwe

Alikuwa akiisifu sana Marekani kuwa iko nao bega kwa bega.
Mmarekani sio wa kumuani hata kwa sekunde
Zelenskyy hajawahi kuwa na uhusiano mzuri na Trump tangu 2016. Alikuwa akimuwekea ngumu madai yake yasiyo na msingi. Hata haya ya sasa.

Madini kuchimbwa si ajabu. Ni biashara tu. Ukraine inachohitaji ni security guarantees za kutoshambuliwa tena.

Kuiamini Marekani inategemea pia utawala ulioko madarakani wakati huo. Wakati huu ni zamu ya Putin kufurahi. Ni Israel tu ndio yenye guarantee muda wote.

In any case, hakuna nchi ya kuaminiwa 100% dunia nzima.
 
Kuliko amkubalie Trump hilo pendekezo lake la kujisombea madini bora ampe Urusi nchi iitwe Urusi maana angalau hapo rasilimali bado zitawafaidisha raia wake.
Mkuu ni Urusi au ni Putin binafsi unayempenda kiasi hicho?

Manake si kawaida na rahisi kwa kiongozi wa nchi tena ya kidemokrasia kukabidhi nchi yake na rasilimali zake kwa nchi nyingine. Ni ajabu sana hata kufikiria hivyo.
 
Zelenskyy hajawahi kuwa na uhusiano mzuri na Trump tangu 2016. Alikuwa akimuwekea ngumu madai yake yasiyo na msingi. Hata haya ya sasa.

Madini kuchimbwa si ajabu. Ni biashara tu. Ukraine inachohitaji ni security guarantees za kutoshambuliwa tena.

Kuiamini Marekani inategemea pia utawala ulioko madarakani wakati huo. Wakati huu ni zamu ya Putin kufurahi. Ni Israel tu ndio yenye guarantee muda wote.

In any case, hakuna nchi ya kuaminiwa 100% dunia nzima.
Zele na Ukraine wote ni losers

Alitegemea atapata ulinzi kwa kuwa mwanachama wa NATO imeshindikana wamemkataa

Madini yatakayochimbwa yatakuwa na thamani zaidi ya hiyo misaada aliyopewa, Marekani itafadika zaidi kuliko Ukraine

Wakati huo Russia imeshachukua 20% ya ardhi ya Ukraine yenye utajiri wa madini na ardhi yenye rutuba katika uzalishaji wa ngano

Ukraine imeambulia kupoteza mamia ya maelfu ya askari, mamilioni ya Waukraine wamekimbia nchi yao, wamepoteza karibu 20% ya ardhi yao na uchumi na miundombinu mingi imeharibiwa
 
Vita mbaya sana. Dola bilioni moja zinaweza maliza kabisa kabisa njaa duniani.
Vita siyo nzuri.
Naamini Ukraine sasa wanajutia uamuzi wao wa kuingia kwenye vita.
Njia za diplomasia zilikua sahihi zaidi kwao.
Wamepata hasara za watu na mali na bado marafiki waliomshawishi aingie vitani wanaanza kumdai hata kabla vita haijaisha.
 
Back
Top Bottom