Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuwa tu madarakani, nina wasiwasi anaweza asiwe hai pia.Kuna mlio bado hajatoa Zelensky kwa spana anazopigwa na Trump.
Ila sioni kama atakuwa madarakani in next three months.
Wanaukimbi.
Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo.
"Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani.
Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni."
===============
JUST IN: Zelensky says that he received only $100 billion in U.S. aid as grant, not a loan.
"We don't recognize Ukraine's $500 billion debt to the US.
I don't even recognize $100 billion. We agreed with Biden that it was a grant, not a debt.
View: https://x.com/megatron_ron/status/1893694220742832307?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ni kweli kabisa! Duniani kuna takribani jumla ya watu bilioni 10. Sasa piga hesabu dola bilioni 500 zingegawiwa kwa idadi ya watu duniani kila mtu angepata dola ngapi? Jumlisha na za vita vingine vinavyotokea sehemu mbali mbali duniani.Vita mbaya sana. Dola bilioni moja zinaweza maliza kabisa kabisa njaa duniani.
Oya nimecheka mbaya hiyo kauli yako dezo mbaya sana alafu ukizoea dezo unaona kama haki yako vile kupewaDah kuzoea dezo uku.
Hii sio mechi ya Simba na Yanga kwamba iandikwe kishabiki kirahisi rahisi hivi. Unavyoona Urusi ilikuwa ikisherehekea hii miaka mitatu ya “special operation”? - badala ya wiki tatu walizopanga mwanzoni?Zele na Ukraine wote ni losers
Alitegemea atapata ulinzi kwa kuwa mwanachama wa NATO imeshindikana wamemkataa
Madini yatakayochimbwa yatakuwa na thamani zaidi ya hiyo misaada aliyopewa, Marekani itafadika zaidi kuliko Ukraine
Wakati huo Russia imeshachukua 20% ya ardhi ya Ukraine yenye utajiri wa madini na ardhi yenye rutuba katika uzalishaji wa ngano
Ukraine imeambulia kupoteza mamia ya maelfu ya askari, mamilioni ya Waukraine wamekimbia nchi yao, wamepoteza karibu 20% ya ardhi yao na uchumi na miundombinu mingi imeharibiwa
Ila Trump ni kigeugeu pia ni katapeli fulani.Kuna mlio bado hajatoa Zelensky kwa spana anazopigwa na Trump.
Ila sioni kama atakuwa madarakani in next three months.
Mkuu, assume wewe ni raisi wa Zanzibar, umeitenga Zanzibar na Tanganyika. Kipi ni rahisi kwako, kumpa Kenya madini yako ili muwe washirika against Tanganyika au kurudi na kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar?Mkuu ni Urusi au ni Putin binafsi unayempenda kiasi hicho?
Manake si kawaida na rahisi kwa kiongozi wa nchi tena ya kidemokrasia kukabidhi nchi yake na rasilimali zake kwa nchi nyingine. Ni ajabu sana hata kufikiria hivyo.
Muigizaji aliyemzuia putin kwa miaka 3 sasa mpaka putin anaomba trump amsaidieAnafikiri ni zile komedi alizokuwa anacheza. Hivi sijui Ukraine 🇺🇦 walianzaje kumpa nchi muigizaji!!!?
Zelensky wananchi ndo walimuweka madarakani na sio trumpIla Trump ni kigeugeu pia ni katapeli fulani.
Kama kweli utawala uliopita ulimpatia hicho kiasi kama grant kwanini amgeuke na anadai ni mkopo. Ambane tu kuanzia sasa si kuleta ulaghai kwa kugeuza mambo.
Nasikia na starlink wanaenda kuwazimia internet pia.
Zelensky siku zake ziko numbered na bila shaka kitakachofuata ataanza kutuhumiwa kwa kutumia vibaya pesa ya misaada kwa kujinufaisha.
Kama ulikuwa hujui putin kabla hata ya vita ameshajaribu mara nyingi sana kumuua zelensky na kashindwa mambo sio marahisi kama kukaa nyuma ya keyboard na kuandikaSio kuwa tu madarakani, nina wasiwasi anaweza asiwe hai pia.
Mtu kama Trump anamwambia hiyo dola bilioni mia ya wavuja jasho wa Marekani kwamba alikubaliana na Biden itoke kama msaada.
Huyu jamaa hawajui wamarekani maskini, hajui ni mashetani kiasi gani, wangeweza kuzungumza walau kama angekua amewashinda warusi vitani, ila hapa watamuua na hiyo pesa watazungumza na Urusi awabakizie maeneo ya Ukraine yenye mali arudishe gharama.
Trump kichaa!!!Trump ni mpuuzi sana
Putin alikuwa anasema eti kisa muda wa uchaguzi umepita, hivyo zelensky si rais halali so naona trump anaunga mkono. Lakini wanajitoa ufahamu kama vile hawajui kuwa ukraine inaongozwa kwa martial law kwa sababu ya vitaZelensky wananchi ndo walimuweka madarakani na sio trump
Sikuwahi tegemea kuna siku putin ataomba mbeleko baada ya mambo kuwa magumu tena kwa adui wake marekani maisha yanaenda kasi sanaPutin alikuwa anasema eti kisa muda wa uchaguzi umepita, hivyo zelensky si rais halali so naona trump anaunga mkono. Lakini wanajitoa ufahamu kama vile hawajui kuwa ukraine inaongozwa kwa martial law kwa sababu ya vita
Putin na trump wanaongea lugha moja. Huoni wamewatenga kuanzia ulaya na ukraine mwenyewe wakafanya mkutano wa vita huku wahusika wengine wakiwa hawapo. Bado anataka kumwondolea vikwazo putin.Sikuwahi tegemea kuna siku putin ataomba mbeleko baada ya mambo kuwa magumu tena kwa adui wake marekani maisha yanaenda kasi sana
Sema afrikaSamia ajifunze Kwa zelensky kukopakopa hovyo
Russia - China ni dude baya kwa USA/ EuropePutin na trump wanaongea lugha moja. Huoni wamewatenga kuanzia ulaya na ukraine mwenyewe wakafanya mkutano wa vita huku wahusika wengine wakiwa hawapo. Bado anataka kumwondolea vikwazo putin.
Watu wanadai trump anataka kuitenganisha russua na china.