musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Ndio mkakati wenyewe wa amani wa kumaliza vita ndani ya miezi 3Kuna mlio bado hajatoa Zelensky kwa spana anazopigwa na Trump.
Ila sioni kama atakuwa madarakani in next three months.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkakati wenyewe wa amani wa kumaliza vita ndani ya miezi 3Kuna mlio bado hajatoa Zelensky kwa spana anazopigwa na Trump.
Ila sioni kama atakuwa madarakani in next three months.
Makubaliano ya kutoitanua NATO yanaitwaje, yalifanyikia wapi, yalifanyika lini na viongozi gani walihusika?... kwa kukiuka makubaliano ya kutoitanua NATO karibu na Russia ninaweza kusema "NDIO WALIPANGA UVAMIZI WA CRIMEA 2014! ... DOMINO EFFECT!
... very dirty money! Muda wote unapofaidi pesa hiyo majinamizi ya watu waliopoteza maisha, kupata vilema na kufilisika, kutokana na vita ulivyovikomalia upate pesa, hayaachi kukuandama na kukusimanga!Zele kapiga hela sana kwa hii vita
Asee umewaza vizuri...duniani tumejaa ubinafsiVita mbaya sana. Dola bilioni mia moja zinaweza maliza kabisa kabisa njaa duniani.
Amcheki Juma NkamiaTrump ni dikteta kama Putin, ataongeza muda wa kutawala.
Makubaliano ya kutoitanua NATO yanaitwaje, yalifanyikia wapi, yalifanyika lini na viongozi gani walihusika?
NATO-Russia Founding Act 1997 ilihusu nini??
Ni kweli kabisa, dhulma na khiyana haiwezi kumuacha mtu salama... very dirty money! Muda wote unapofaidi pesa hiyo majinamizi ya watu waliopoteza maisha, kupata vilema na kufilisika, kutokana na vita ulivyovikomalia upate pesa, hayaachi kukuandama na kukusimanga!
Hayo ni kwa Africa tu,sio USARaisi ana mamlaka makubwa.
Anapanga safu yake kuanzia majaji hadi jeshini.
Unahisi kwenye dellusion kubwa sana miaka 3 putin kamshindwa kumtoa zelensky mpaka putin anamlilia trump asimsaidie kumtoa zelenksy wewe uko wapiZelensky is on a losing side and can not win. Trump does want to carry a loser with him
No other country will fight against Russia, even the NATO and Europe, why drag the war on any longer
After this is all over he’s going to be just a grease spot in history
Unahisi kwenye dellusion kubwa sana miaka 3 putin kamshindwa kumtoa zelensky mpaka putin anamlilia trump asimsaidie kumtoa zelenksy wewe uko wapi
Kipindi hiki anamlilia trump amsaidie kumtoa zelensky ambaye ameshindwa kutoa kijeshi kwa miaka 3 na kumuua kawaidaNi lini Putin alimlilia Trump? Umeanza kuongea pumba
Hajamshindwa. Ni muda ulikuwa haujafika kwa yule kibaraka wa NATO.Miaka 3 putin amemshindwa mwana maigizo
Mpaka sahivi tunavyoongea kamshindwa anampigia magoti baba wa NATO marekani amsaidieHajamshindwa. Ni muda ulikuwa haujafika kwa yule kibaraka wa NATO.
Mpaka sahivi tunavyoongea kamshindwa anampigia magoti baba wa NATO marekani amsaidie
Ni bora utulie na kuendelea kufuatilia yanayoendelea. Angalau furahi basi kuwa sasa Putin kawa swahiba wa bosi wa NATO (Trump/USA). Marekani walishakubali wazo la Ukraine kujiunga NATO lisiwepo. Na sasa wameweka mkazo.... magharibi waliipanga vita hii kabla haijaanza na uchokozi waliufanya wakijua matokeo na watakachofanya!
HII ILIKUWA VITA YA NATO VS RUSSIA TOKA MWANZO!
Vyovyote vile, ajue hii Vita ndio imeisha, it's the matter of when and how, Mzee Trump, anataka kila msaada atakaotoa, ulindwe (collateralized) ama kwa mikataba ya kuchimba gesi na mafuta,au madini! Hakuna cha bure, Trump anataka kuimaliza Vita mezani,akiwa, yeye na Mzee Putin tu, Zelensky hatakaribishwa kwenye kikao,Wanaukimbi.
Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo.
"Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani.
Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni."
===============
JUST IN: Zelensky says that he received only $100 billion in U.S. aid as grant, not a loan.
"We don't recognize Ukraine's $500 billion debt to the US.
I don't even recognize $100 billion. We agreed with Biden that it was a grant, not a debt.
Miaka mitatu 🤔Hajamshindwa. Ni muda ulikuwa haujafika kwa yule kibaraka wa NATO.
Kipindi hiki anamlilia trump amsaidie kumtoa zelensky ambaye ameshindwa kutoa kijeshi kwa miaka 3 na kumuua kawaida