Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Kama ulikuwa hujui putin kabla hata ya vita ameshajaribu mara nyingi sana kumuua zelensky na kashindwa mambo sio marahisi kama kukaa nyuma ya keyboard na kuan
Jamaaa Putin ni sawa na Umeme HATARI yule jamaa akitaka ufe masaa24 tu unaaga Dunia!!!!
 
Macron: “We seek peace, not Ukraine’s surrender.

The EU has provided €138 billion in aid.

Many allies are ready to support Ukraine with troops and equipment.

If Russia breaks the peace deal, it will face all nations involved—an entirely different scenario.”
 
Jamaaa Putin ni sawa na Umeme HATARI yule jamaa akitaka ufe masaa24 tu unaaga Dunia!!!!
Trump anamugopa sana Putin hata kuongea naye anatafuta maneno mepesi.

JUST IN: Trump refuses to call Putin a "dictator" despite provocation from reporters:

"You called Zelensky a dictator. Would you use the same word regarding Putin?"

"Uhhh I don't use those words lightly... let's see what happens."
 
Putin:

Russia is ready to supply 2 million tons of aluminum to the U.S. to stabilize prices.

Xi says the Ukraine “peace group” will meet in New York soon.

Russian and U.S. companies are discussing joint projects.
 
#BREAKING Ukraine secures major support from visiting world leaders:

🇫🇮 Finland: €4.5 million for infrastructure and EU integration.

🇦🇺 Australia: Largest sanctions package—70 individuals, 79 entities.

🇳🇿 New Zealand: New sanctions against Russia.

🇪🇸 Spain: €1 billion in military aid.

🇩🇰 Denmark: €270 million in aid.

🇸🇪 Sweden: $113 million in air defense systems.

🇬🇧 United Kingdom: $5.6 billion in military aid.

The UK is prepared to deploy troops to Ukraine alongside other nations.
 
Trump anatafuta sababu akate msaada kwa Ukraine ili wamddhoofishe zaidi.
Hii yote Ili Ukraine akubali terms walizoelewana trump na Putin.
Zelensky ameshajua trump sio mwenzake tena sasa ameelekeza macho yake yote EU na jana EU wamempa zelenky aid ya Euro 3.5billion, Trump hana mpango wowote yeye hana msimamo mara anaongea hivi mara vile
 
nadhani wewe ni kati ya wanaopenda kusikia wanachomini tu: Confirmation bias ambao ndio ujinga mkubwa Je ukiambiwa nusu ya askari 11,000 wa North Korea tayari wameshauawa utaamini? Tena wengi wao wanajiuwa wenyewe kuogopa kuchukuliwa mateka.

Ni kutokana na wingi wa askari ndiyo maana urusi imeendelea na vita siyo kwa tactics. Wanauwawa wengi na urusi inazidi kuleta wengi hasa kutoka maeneo maskini ya Altai, Buryatia, Tyva, Ingushetia, na Amur. Kwenye majimbo hayo sasa kuna wimbi la akina mama kudai watoto wao
Leta takwimu acha porojo ww unadhani watu 850,000 ni nyanya sio?
Ww unafuata takimu zinazo tolewa na Ukraine kwa ajili ya propaganda na kuziamini kweli ww hauko sawa kichwani.
Ni mwaka jana tu CIA ilitoa takwimu kuwa wanajeshi wa Urusi 200,000 wamekufa au wamejeruhiwa ww mwaka huu unatuambia 850,000 kwa hiyo mwaka huu urusi ilikuwa inapoteza wanajeshi 30000 kila siku?
Vita imewashinda mmeanza propaganda za kijinga.
 
Mkuu unatumia mihemko badala ya fact.
Unashangaa Urusi kupigana na Ukraine inayo pewa misaada na mataifa zaidi ya 50 miaka 3, mbona huishangai Israel iliyo pambana na kundi dogo la wapiganaji mwaka na nusu na ameshindwa kuwashinda na kuwaangamiza?
Au mbona huishangai Marekani aliye pigana na Vietnam miaka 8 na hakufanikiwa kuteka hata kijiji?
Mbona huishangai usoviet iliyo pambana na mjahidina miaka kumi na kitu na wakaishindwa?
Kabla ya kushangaa miaka alio tumia Ukraine unajua Urusi alitumia muda gani kuwashinda wachechinia?
Au ww kwa akili yako unadhani vita ya Ukraine ndo vita ya kwanza Urusi kupigana kwahiyo hajui maana ya vita?
Au unadhani vita ni sawa na kucheza sindimba sio?
Usichanganye vita ya Ukraine na hizo za kale. Elewa kwanza madhumuni na malengo ya kila vita. Marekani hawakwenda Vietnam kuteka nchi. Walitaka kuzuia utawala wa Vietcong (wakomunisti) - wakashindwa. Soviet walienda Afghanistan kutaka kumrejesha madarakani mtawala wa kikomunisti - wakashindwa.

Israeli wanataka ardhi yote na kuwaangamiza au kuwafurusha Wapalestina ili Wayahudi wawe peke yao ndio wenye nchi (a Jewish nation). Wanajiongezea hadi Syria na Lebanon. Serikali ya sasa ya Marekani inawasaidia katika hilo lengo lao la kijinga.

Ukraine wasingekuwa tayari kupigana na kusubiri majeshi ya nje yake kuwapigania, wangefagiliwa mbali kama utawala wa Afghanistan ulivyofurushwa na Wataliban pamoja na msaada mkubwa waliopewa na Marekani miaka 20.

Hakuna ambaye angepeleka msaada wa silaha Ukraine kama wasingeamua kupigana kwa ujasiri mkubwa walioonyesha kupigania nchi yao dhidi ya uvamizi. Zelenskyy alipotahadharishwa na kupewa ofa ya kuhamishwa na familia yake aliikataa “lifti” na kuomba silaha wapigane. Amethibitisha uwezo wao miaka mitatu sasa.

Wenye mihemko ni nyinyi wenye kushabikia nchi na watu bila kuelewa mikanganyiko ya kiitikadi (ideological dynamics) na maslahi ya makundi yaliyomo ndani yake. Ndio nyinyi mmekuwa mkidhani ni mapambano kati ya Marekani/NATO upande mmoja na Urusi/China upande mwingine. Bila kuelewa nini hasa kinachotafutwa.

Baadhi yenu saa hizi mmeduwaa sana kuona Marekani sasa wako upande wa Urusi dhidi ya Ukraine na EU/NATO. Yaani Trump na Putin wamekuwa maswahiba wakubwa. Hamuelewi imekuwaje!

Hapa inahitajika uelewa mkubwa wa mienendo ya kiitikadi (ideological shifts) na maslahi ya makundi duniani yakoje ili kuelewa misingi ya hizi vita ni ipi hasa? Someni, mjielimishe. Ushabiki hausaidii kitu.
 
Wenyewe wanaita vifurushi mara ya Joe Biden alitangaza kifurushi kipya cha msaada wa usalama cha dola bilioni 2.5 kwa Ukraine, ambacho kinajumuisha vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 1.25 na dola bilioni 1.22 chini ya Mpango wa Usaidizi wa Usalama wa Ukraine (USAI).
Hamna cash money

Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy confirmed that Ukraine has received approximately $76 billion of the $177 billion in aid approved by the United States. The statement, made during an interview with The Associated Press on February 2.

“When I hear – both in the past and even now – from the US that America has provided Ukraine with hundreds of billions [of dollars] 177, to be precise, based on what Congress approved, as the president of a nation at war, I can tell you – we’ve received more than US$75 billion,” Zelenskyy stated.

“So, when people talk about US$177 billion or even US$200 billion, we’ve never received that. That’s important. We’re talking about tangible things because this aid didn’t come as cash but rather as weapons, which amounted to about US$70 billion,” he added.

The President emphasized that Ukraine had not received $200 billion.

“But when it’s said that Ukraine received $200 billion to support the army during the war – that’s not true. I don’t know where all that money went. Perhaps it’s true on paper with hundreds of different programs – I won’t argue, and we’re immensely grateful for everything. But in reality, we received about US$76 billion. It’s significant aid, but it’s not US$200 billion,” Zelenskyy said.
trump ni kigeu geu tu. Aliwahi kudhihaki Ukraine kupewa silaha za zamani, lakini leo anabadili
Leta takwimu acha porojo ww unadhani watu 850,000 ni nyanya sio?
Ww unafuata takimu zinazo tolewa na Ukraine kwa ajili ya propaganda na kuziamini kweli ww hauko sawa kichwani.
Ni mwaka jana tu CIA ilitoa takwimu kuwa wanajeshi wa Urusi 200,000 wamekufa au wamejeruhiwa ww mwaka huu unatuambia 850,000 kwa hiyo mwaka huu urusi ilikuwa inapoteza wanajeshi 30000 kila siku?
Vita imewashinda mmeanza propaganda za kijinga.
Sijaona unachosimamia nini kama siyo kusimaisha mishipa ya shingo ili kukidhi haja ya kutaka kuonekana unajua kubisha bila kuwa na unalosimamia. Huwezi kupata jibu lolote la maana bila kuwa na hoja inayoeleweka
 
Zelenskyy anaweza kuja kuwa shujaa kwa
taifa la Ukraine kwa viazi vijavyo kama ataendelea na misimamo yake dhidi ya mataifa makubwa.

Anajua hawezi kushindana na marekani au Russia kwa kitu chochote lakini maji ya bendera aliyokunywa na uzalendo kwa taifa lake yatamfanya kuwa na legacy kubwa kwa vizazi vingi vijavyo vya taifa hilo.

Pengine leo hii Ukraine ingekuwa vipande vipande na yeye kwenda kula maisha na familia yake kwa hao wakubwa kama viongozi wengi wanavyofanya. Lakini yeye amegoma kuvaa suti na kuamua kupigania taifa lake hadi tone la mwisho japo anajua wakubwa hao watampora nchi yake au rasilimali zake.

Lakini so far hana deni kwa nchi yake just a Hero!
 
Kuna mlio bado hajatoa Zelensky kwa spana anazopigwa na Trump.
Ila sioni kama atakuwa madarakani in next three months.
Considering amekuwa madarakani muda wote huo wa crisis, trump hawez mchomoa wala hatomtisha
 
Mtanzania ambae hauko vitani ndio Nchi inategemea misaada mingi kuliko Nchi nyingi Afrika unamcheka alie kwenye mapambano kuwa anazoea dezo..
Aya tuambie ni lini Tanzania imepewa usd bilion 500.?kwa kifupi hakuna cha bure iwe ni Tanzania wanakopa au Ukraine alipe alivopewa tena avitapike.
 
Marekani iko njiani kupata faida kubwa kutokana na upumbavu wa waliberali huko Uropa.

Biden alilazimisha Ulaya kuachana na madini asilia kutoka Urusi, na aliwasaidia kidogo kwa kulipua bomba la Nord Stream.

Pia alilazimisha makampuni ya Ulaya kuachana na Urusi.

Sasa Trump anaondoa vikwazo, akitangaza kuingia tena kwa makampuni ya Marekani nchini Urusi, na ununuzi wa madini ya Kirusi.

Kwa kuongeza, Trump sasa pia atapata madini ya Ukraine, na Ulaya itapata kidole cha kati.

EU pia inatangaza kifurushi cha usalama cha dola bilioni 700 hivi karibuni, ambazo nyingi zitaishia kwenye mifuko ya kampuni za kijeshi za Amerika, kwa hivyo huu ni mpango mwingine mzuri wa biashara kwa Trump.

Nyingi za silaha hizi zitaishia Ukraine.

Na kinachovutia zaidi, baada ya Marekani kuondoa vikwazo kwa Urusi, Ulaya haitafanya hivyo, na Marekani itaanza kuuza madini ya asili ya Kirusi kwa Wazungu kwa faida ya ziada.
 
Aya tuambie ni lini Tanzania imepewa usd bilion 500.?kwa kifupi hakuna cha bure iwe ni Tanzania wanakopa au Ukraine alipe alivopewa tena avitapike.
Tanzania hawadaiwi mkuu ni Nchi isiyotegemea misaada kutoka Nchi za Nje hata lile deni la Taifa wanalosema ni himilivu ni la Haiti sio Tanzania kwa sababu haijawahi kukopa.
 
🚨BREAKING: UKRAINE AGREES TO U.S. MINERALS DEAL AFTER TRUMP ADMINISTRATION DROPS $500B DEMAND

Kyiv has finalized a minerals deal with Washington, securing joint development of Ukraine’s oil, gas, and mineral resources—but only after the Trump administration dropped its toughest demands, including a $500 billion revenue claim.

The deal establishes a fund where Ukraine will contribute 50% of proceeds from future mineral monetization, but it does not include the security guarantees Kyiv originally sought.

With Zelenskyy expected to visit the White House for a signing ceremony, this deal marks a major shift in U.S.-Ukraine relations under Trump.

Source: Financial Times
 
Back
Top Bottom