Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Aya tuambie ni lini Tanzania imepewa usd bilion 500.?kwa kifupi hakuna cha bure iwe ni Tanzania wanakopa au Ukraine alipe alivopewa tena avitapike.
Kuna watu wanashabikia hii migogoro kwa ushabiki kama wa Simba na Yanga. Acha kufuata mkumbo
 
Trump anamugopa sana Putin hata kuongea naye anatafuta maneno mepesi.

JUST IN: Trump refuses to call Putin a "dictator" despite provocation from reporters:

"You called Zelensky a dictator. Would you use the same word regarding Putin?"

"Uhhh I don't use those words lightly... let's see what happens."
Mtu anasukuma Mambo kwa misaada
 
Hivi wanajeshi 850,000 una wajua au unawasikia?
Kabla ya vita Urusi ilikuwa na wanajeshi 900,000 kiujumla kwa hiyo kwa takwimu zako Urusi kwa sasa imebakiza wanajeshi 50000 tu,mambo mengine muwe mnatumia akili.
Si amekuwa akiajiri kila mwaka. Au we habari za urusi kukusanya kuruta huna.
 
Wanaukimbi.

Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo.

"Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani.

Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni."
===============
JUST IN: Zelensky says that he received only $100 billion in U.S. aid as grant, not a loan.

"We don't recognize Ukraine's $500 billion debt to the US.

I don't even recognize $100 billion. We agreed with Biden that it was a grant, not a debt.

Eti dola b100 tu
 
Back
Top Bottom