Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.
Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.
Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.
Cc: MK254
=======
View attachment 2629692
View attachment 2629693
Ha ha ha haa.Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.
Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.
Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.
Cc: MK254
=======
View attachment 2629692
View attachment 2629693
Nahisi umechanganyikiwa Mkuu, unakopi habari ya DW ya jana jumamosi (Saturday) tena toka kwa viongozi uchwara wa Ukraine halafu wasiotajwa majina wakati mie habari hii niliyoileta ni ya leo leo jumapili tena hata lisaa limoja halijapita toka iripotiwe...na zaidi ya yote inatoka kwa Rais wa Ukraine Bwana Zelensky akiongea officially kwenye mkutano wa G7.Ujifunze kufanya copy pasting ya taarifa zote, mbona umeepuka kuwe hii paragraph
The claim that the city has been captured was disputed on Saturday by Ukrainian officials, who said fighting to control the city continued.
Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing.
Kwanza jina halali la mji huo ni Artyomovsk.....haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.
Eneo gani la mji huo linalopiganiwa atoe coordinate tumuonyeshe picha ya eneo hilo ambalo hakuwa na taarifa nalo kuwa limechukuliwa na Russia. Mbona Ni Rahisi tu kuonyesha eneo!Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing
Nahisi umechanganyikiwa Mkuu, unakopi habari ya DW ya jana jumamosi (Saturday) tena toka kwa viongozi uchwara wa Ukraine halafu wasiotajwa majina wakati mie habari hii niliyoileta ni ya leo leo jumapili tena hata lisaa limoja halijapita toka iripotiwe...na zaidi ya yote inatoka kwa Rais wa Ukraine Bwana Zelensky akiongea officially kwenye mkutano wa G7.
View attachment 2629719
Eneo gani la mji huo linalopiganiwa atoe coordinate tumuonyeshe picha ya eneo hilo ambalo hakuwa na taarifa nalo kuwa limechukuliwa na Russia. Mbona Ni Rahisi tu kuonyesha eneo!
Ni kweli Bakhmut mmebaki nayo tu kwenye mioyo yenu mkiitamani lakini imeshachukuliwa na Urusi kama Zalensky anavyoripotiwa na The Washington Post ya Marekani...Unaelewa nini maana ya neno "appears"....Bakhmut tupo!!!!
Ni kweli Bakhmut mmebaki nayo tu kwenye mioyo yenu mkiitamani lakini imeshachukuliwa na Urusi kama Zalensky anavyoripotiwa na The Washington Post ya Marekani...
View attachment 2629849
View attachment 2629851
Hivi demu "ukimuingizia" alafu umuulize kama imeingia atakubali?Unaelewa nini maana ya neno "appears"
mkenya tongeleni naona umeanza kua mwalim kiinglish jana umeanza na claim leo appears.Unaelewa nini maana ya neno "appears"
Hivi demu "ukimuingizia" alafu umuulize kama imeingia atakubali?
mkenya tongeleni naona umeanza kua mwalim kiinglish jana umeanza na claim leo appears.
Vip bakhmut wanaendeleaje?
Bakhmut oye leo mwendo tende na halua kahwa kwa mbali mchana wali wa biliani karibu tuta pikia hapahapa bakhmutTatizo mumejikita kwenye kiarabu sana, na huku mnataka kutafsiri kingereza.