Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angefuata mkataba wa amani yote yasingemkuta yy kajitutumia kwa kutegemea silaha za msaada halafu puttin alivyo mhuni yy anateka sehemu muhimu tu za kiuchumi sasa hv kambakishia bandari moja tu ya odessa ikichukuliwa na hyo atakuwa km burundi au rwanda land lockAwe makini tu Putin asije kumpatia yeye hicho anachoongelea yani kuuweka usalama wa maisha yake mashakani
Huyu ni mjinga na kwa ujinga wake anataka kuishirikisha dunia iingie gharama
Akubaliane na Putin maisha yaendelee aache udwanzi
Kama hawa watu/washirika wa ukraine wangekuwa na akili wangeingia vitani na Russia moja kwa moja
Wameshindwa kuishinda Russia kwasababu
Mfano mimi nina mishale elfu tatu wewe una mishale mia mbili unaomba maswahiba zako wakusaidie mishale ya kupambanna na mimi mmoja anakupa mishale mia mwingine anakupa mia mbili na mwingine anakupa hamsini jumla unakuwa na mishale 550
Ukija kwangu ninayo 3000 utatoboa vipi sasa
Hawa maswahiba zako wanazo stock za kutosha sana lakini hawako tayari kutoa kiasi kikubwa kwaajili yako sasa ushindi utapata vipi hapo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
🥸😎Slava OkraniaHapa ndo penyewe kisu kimeinga katika mfupa!
UraaaaHilo linajulikana wazi kuwa hakuna aneyeweza kusimama na russia kwa cha mtu mbili,na hata mkija mande mjiangalie.
Ndio anachosema zelensky. Kwani anae supply silaha Ukrainei kwa sasa ni ni nani? Si kibaka Mmarekani? Zelensky alipewa wito wa kusaini kusitisha vita kunako 2022, akapigwa mkwara na Bori Johnson, akarudi nyuma. Bado siku kadhaa tu majeshi ya Warusi wafike Kyiv, aendelee kushupaza fuvu tu mpaka wamfikie! 😀 😀 😀Tumuulize Zelensky kama alimaanisha mpaka US au lah .🤔
Lakini kwa maelezo yake Zele ni kuwa hata US hawezi mshinda Russia akiwa peke yake.
Mahawara tema🤣😂😃Haya ukiyasema mahawala wa marekani watakuona km hazikutoshi lkn Leo hii rais mwenyewe amekiri
Nadhani kimoyomoyo anajutia sana ile FursaNdio anachosema zelensky. Kwani anae supply silaha Urusi kwa sasa ni ni nani? Si kibaka Mmarekani? Zelensky alipewa wito wa kusaini kusitisha vita kunako 2022, akapigwa mkwara na Bori Johnson, akarudi nyuma. Bado siku kadhaa tu majeshi ya Warusi wafike Kyiv, aendelee kushupaza fuvu tu mpaka wamfikie! 😀 😀 😀
Hakika. Maana walimpa kichwa kwamba anaweza kukabili jeshi la Urusi, lakini kinachomkuta sasa hana hamu nacho.Nadhani kimoyomoyo anajutia sana ile Fursa
Ila mbona kule Nagorno-karabakh Russia alimshindwa Uturuki mwaka jana?Nilisema humu na nitaendelea kusema kuwa; Russia ni dubwasha lenye nguvu mno kivita siyo nchi ya kuikabili kirahisi katika mapigano ya kivita.
Silaha nyingi alizo deploy dhidi ya Ukraine ni zile za Soviet era, Zelensky alikosea na anaendelea kukosea kuwategemea "walimwengu" kumsaidia.
Marekani, ujerumani, uingereza, polandi, Latvia n.k wamejitahidi kupeleka silaha na wanajeshi uwanja wa vita dhidi ya Russia lakini wameishia kupata hasara
Ifike mahala akubali kukaa meza moja na Hilo dude wayamalize kiujirani. Jiografia ya marekani kuisaidia Ukraine at a full scale haisapoti.
Taifa pekee duniani la kukabiliana na Russia kivita wakatoshana nguvu labda marekani ( of course number matters a lot).
Warusi ni jamii korofi na yenye kujiamini sana.
Mlima bilinganya wa Turiani akichambua uwezo wa kivita wa Marekani.Marekani hawezi kubattle na Russia au China peke yake bila msaada wa nchi washirika na kuwawekea vikwazo vya kiuchumi
Nikajua silaha za kupiga mosco washamkabidhi kumbe maneno tu hamna kituUS hawez enda head to head na Russia bila washirika wakuu.
US hawezi kujirisk kupigana na linchinkama Russia, Ni risk kubwa sana.
Russia angekuwa soft NATO wangekuwa washamvamia na kuondoa Serikali, lakin wanahofu kubwa sana na wako makini sana.
Imagine silaha tu za kumpa Zelensky apige Moscow hawataki na wanaogopa. Why??
Wamempelekea Mitumba ya vicarious Bladdly kila vinateketezwaNikajua silaha za kupiga mosco washamkabidhi kumbe maneno tu hamna kitu
Angalau ameliona hilo...ila kichapo kina muhusu.
Taifa la Mungu Israeli likiingia front wakiwa na Mungu - Yehova YWHW, dakika sifuri Russia anasamaratishwa. rejea vita ya Daudi na GoliathiKiongozi wa Ukraine anahimiza ulimwengu kuungana dhidi ya Moscow
Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake - Zelensky
Vladimir Zelensky wa Ukraine ameitaka jumuiya ya kimataifa kufanya kazi pamoja dhidi ya Urusi, akisisitiza kwamba hakuna taifa linaloweza kunusurika vita na Moscow peke yake.
Katika mahojiano na vyombo vya habari vya Asia ya Kati siku ya Jumamosi, Zelensky alisema lengo linapaswa kuwa kuhakikisha kwamba Rais Vladimir Putin "anafikiria juu ya maisha yake na usalama wake," na kwamba "Warusi wanafikiria jinsi wanaweza kuepuka kupoteza uhuru wa nchi yao. - bila kuwatishia - kwa kuonyesha tu jinsi ulimwengu ulivyo na umoja, jinsi ulivyo na nguvu."
Umoja huo unahitajika kwa sababu "hakuna anayeweza kustahimili vita kamili na Warusi peke yake," kiongozi huyo wa Ukraine alisema, kama alivyonukuliwa na gazeti la mtandaoni la Kazakh la Vlast.
"Tulikuwa peke yetu, tulikuwa peke yetu" wakati Urusi ilipoanzisha operesheni yake ya kijeshi dhidi ya Ukraine mnamo Februari 2022, Zelensky alidai. "Lakini basi tulikubaliana na washirika wetu juu ya aina fulani ya vikwazo, aina fulani ya silaha na mambo mengine," alisema. alisema, akimaanisha msaada uliotolewa na nchi za Magharibi tangu kuanza kwa mzozo huo.
Hata Beijing "lazima ilinde Ukraine kwa sababu tulishambuliwa," kama "China inasema kwamba uadilifu wa eneo lazima uheshimiwe," mwanasiasa huyo alisema.
My Take:
😷
Hii Israel sio taifa la Mungu.taifa la Mungu haliwezi kuruhusu usodoma au kuua ovyoovyo.Taifa la Mungu Israeli likiingia front wakiwa na Mungu - Yehova YWHW, dakika sifuri Russia anasamaratishwa. rejea vita ya Daudi na Goliathi
kama alivyoisambaratisha hamas na kuokoa maagaaidi wake wote wanne waaliotekwa na hamas😁😁😁Taifa la Mungu Israeli likiingia front wakiwa na Mungu - Yehova YWHW, dakika sifuri Russia anasamaratishwa. rejea vita ya Daudi na Goliathi
Hata urusi haiwezi kustahimili vita pekeake pia. Msaada wa silaha ndio habar ya mjiniKiongozi wa Ukraine anahimiza ulimwengu kuungana dhidi ya Moscow
Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake - Zelensky
Vladimir Zelensky wa Ukraine ameitaka jumuiya ya kimataifa kufanya kazi pamoja dhidi ya Urusi, akisisitiza kwamba hakuna taifa linaloweza kunusurika vita na Moscow peke yake.
Katika mahojiano na vyombo vya habari vya Asia ya Kati siku ya Jumamosi, Zelensky alisema lengo linapaswa kuwa kuhakikisha kwamba Rais Vladimir Putin "anafikiria juu ya maisha yake na usalama wake," na kwamba "Warusi wanafikiria jinsi wanaweza kuepuka kupoteza uhuru wa nchi yao. - bila kuwatishia - kwa kuonyesha tu jinsi ulimwengu ulivyo na umoja, jinsi ulivyo na nguvu."
Umoja huo unahitajika kwa sababu "hakuna anayeweza kustahimili vita kamili na Warusi peke yake," kiongozi huyo wa Ukraine alisema, kama alivyonukuliwa na gazeti la mtandaoni la Kazakh la Vlast.
"Tulikuwa peke yetu, tulikuwa peke yetu" wakati Urusi ilipoanzisha operesheni yake ya kijeshi dhidi ya Ukraine mnamo Februari 2022, Zelensky alidai. "Lakini basi tulikubaliana na washirika wetu juu ya aina fulani ya vikwazo, aina fulani ya silaha na mambo mengine," alisema. alisema, akimaanisha msaada uliotolewa na nchi za Magharibi tangu kuanza kwa mzozo huo.
Hata Beijing "lazima ilinde Ukraine kwa sababu tulishambuliwa," kama "China inasema kwamba uadilifu wa eneo lazima uheshimiwe," mwanasiasa huyo alisema.
My Take:
😷