Zelensky: Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake

Zelensky: Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake

Kiongozi wa Ukraine anahimiza ulimwengu kuungana dhidi ya Moscow

Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake - Zelensky

Vladimir Zelensky wa Ukraine ameitaka jumuiya ya kimataifa kufanya kazi pamoja dhidi ya Urusi, akisisitiza kwamba hakuna taifa linaloweza kunusurika vita na Moscow peke yake.

Katika mahojiano na vyombo vya habari vya Asia ya Kati siku ya Jumamosi, Zelensky alisema lengo linapaswa kuwa kuhakikisha kwamba Rais Vladimir Putin "anafikiria juu ya maisha yake na usalama wake," na kwamba "Warusi wanafikiria jinsi wanaweza kuepuka kupoteza uhuru wa nchi yao. - bila kuwatishia - kwa kuonyesha tu jinsi ulimwengu ulivyo na umoja, jinsi ulivyo na nguvu."

Umoja huo unahitajika kwa sababu "hakuna anayeweza kustahimili vita kamili na Warusi peke yake," kiongozi huyo wa Ukraine alisema, kama alivyonukuliwa na gazeti la mtandaoni la Kazakh la Vlast.

"Tulikuwa peke yetu, tulikuwa peke yetu" wakati Urusi ilipoanzisha operesheni yake ya kijeshi dhidi ya Ukraine mnamo Februari 2022, Zelensky alidai. "Lakini basi tulikubaliana na washirika wetu juu ya aina fulani ya vikwazo, aina fulani ya silaha na mambo mengine," alisema. alisema, akimaanisha msaada uliotolewa na nchi za Magharibi tangu kuanza kwa mzozo huo.

Hata Beijing "lazima ilinde Ukraine kwa sababu tulishambuliwa," kama "China inasema kwamba uadilifu wa eneo lazima uheshimiwe," mwanasiasa huyo alisema.

My Take:
😷
uyu rais anakomalia maslai yake bnafs alaf apigan yeye anapganishwa ili hal uwezo wa taifa lake dogo utapgan vp vita kwa kutegmea misada ilihal aliambiwa asijiunge nato mrus atak adui yake akarbie barazan kwake akakaid pia kujiuzur akimbilie uamishon vita viishe atak raia waseiendelekuzurik asa saiv anakamat kila kijan mtaan jeshin wakapgan jesh linapngua nchi inazd kuharbka kwann asiitishe makubalian tu aomne poo sifa ya kiongoz ni kulinda raia wko kulikua na sabab gan za kupgan vita kwa kulazmsha kujiunga nato angekataa kufat mkumbo wa marekan angekua ikulu kwa aman tu
 
Wale wachambuzi uchwara walioshiba ugali humu JF utakuta bado wanalia na kupiga miguu wakisema "Russia ni Simba wa karatasi na supapawa feki!"

Hapo dancer mkata viuno, mcheza uchi, mvaa skin tight na viatu vya kike na mwenye vita yake kasema Russia sio utani. Lakini wale wachambuzi vita kutoka tatahimba hawatokubali.
 
Taifa la Mungu Israeli likiingia front wakiwa na Mungu - Yehova YWHW, dakika sifuri Russia anasamaratishwa. rejea vita ya Daudi na Goliathi
Ila Sasa hivi Mungu kawaacha kwa sababu wamemuasi na kurudia zile tabia zilizopelekea Mungu kuangamiza Miji ya Sodoma na Gomorra.
Ni wazi Sasa hivi Mungu Yuko pamoja na Urusi.
 
Mmarekani peke yake hawezi , jeshi limejaa mashoga na ndio hata na Afghanistani tu akaichukuwa Nato kupigana , na Sadam Hussein kaichukuwa Nato na wazungu wengine, peke yake ingalimshinda kama alivyoshindwa Vietnam
Hujamaliza mbona?
Pamoja na kuchukua kikundi Cha mazezeta wenzake lakini bado alikimbia Afghanistan na kuacha lindo la silaha ambazo hata nchi kama Nigeria hawana
 
uyu rais anakomalia maslai yake bnafs alaf apigan yeye anapganishwa ili hal uwezo wa taifa lake dogo utapgan vp vita kwa kutegmea misada ilihal aliambiwa asijiunge nato mrus atak adui yake akarbie barazan kwake akakaid pia kujiuzur akimbilie uamishon vita viishe atak raia waseiendelekuzurik asa saiv anakamat kila kijan mtaan jeshin wakapgan jesh linapngua nchi inazd kuharbka kwann asiitishe makubalian tu aomne poo sifa ya kiongoz ni kulinda raia wko kulikua na sabab gan za kupgan vita kwa kulazmsha kujiunga nato angekataa kufat mkumbo wa marekan angekua ikulu kwa aman tu
Gabbar Sing hongera kwa kujitahidi kuongea kiswahili ingawa kwa shida sana.
Kwanza msalimie Amitah Barchan,Mithun Chakraborty na Amjad Khan.
Lakini huyo zelensky Hana nguvu wala sauti,kama angekataa kujiunga na NATO ,USA wangemtoa mapema sana,maana lengo la USA ni kumsogelea Urusi mlangoni kabisa.
Sio kumtoa hivihivi TU,bali hata kumuua kabisa.
 
Mungu ana Agano la milele na Israeli. Mungu huheshimu Agano alilolifanya na Ibrahimu, Isaka na Yakobo.
Ni kweli,ila pale waisrael walipomuasi Mungu,Mungu aliwaacha watiwe adabu kidogo mpaka pale akili ilipowakaa sawa na kutubu na kisha kumrudia.
Kuna kipindi Mungu aliwapa adhabu Kali na aliweza hata kuwaacha wakapigwa na maadui zao Hadi walipotmbua makosa Yao na kuomba msamaha

Hata hivyo kaa ukijua Urusi Hana uadui na Israel.
 
Gabbar Sing hongera kwa kujitahidi kuongea kiswahili ingawa kwa shida sana.
Kwanza msalimie Amitah Barchan,Mithun Chakraborty na Amjad Khan.
Lakini huyo zelensky Hana nguvu wala sauti,kama angekataa kujiunga na NATO ,USA wangemtoa mapema sana,maana lengo la USA ni kumsogelea Urusi mlangoni kabisa.
Sio kumtoa hivihivi TU,bali hata kumuua kabisa.
hahahaha kwiyo bora ale bata huku raia wanaisha sas atamtawala nan wananch wanapungua kila uchao
 
Mungu ana Agano la milele na Israeli. Mungu huheshimu Agano alilolifanya na Ibrahimu, Isaka na Yakobo.

Agano na Israeli ipi ? au hii iliyopo sasa taifa la mashoga ??

 
Back
Top Bottom